Haa haa!!
Hata mm iliwah nitokea nikapata shda kdogo kwa mara ya kwanz,but tangu nizoee hyo hal nikaweza kuicontroi coz nikisha pewa muda wa mwsho kabla ya kumalza mtihan,huwa sihangaiki na hasa unapowazia huo muda hku una bana miguu ukiwa unataman kumaliza mtihan kwa muda huo.
Sio uchafu tu peke yake,na ni chukizo kwa MUNGU,tunajilaanisha.Vitu vingine ambavyo c halali,tunavihalalisha ili vitufae kwa tamaa zetu wenyewe.NI CHUKIZO!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.