Search results

  1. mabala family

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Gari yangu ina tatizo kama hili la oil kupungua, Haina changamoto yoyote kwenye speed au nguvu. Tatizo wakati wa kuiwasha asubh kama itakuwa imekaa siku bila kuiwasha inatoa moshi na pop sound. Tatizo hili mafundi wamekula hela yangu sana na tatizo bado lipo, nimelikubal ! Ushaur wako mkuu
  2. mabala family

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Gari yangu ina tatizo kama hili la oil kupungua, Haina changamoto yoyote kwenye speed au nguvu. Tatizo wakati wa kuiwasha asubh kama itakuwa imekaa siku bila kuiwasha inatoa moshi na pop sound.
  3. mabala family

    Mninga

    Nenda wakala wa misitu TFS lipia gharama za kila mlango au bidhaa yyote ya mbao ni rafiki sana na fuata masharti yao ya kusimama kwa kila geti kwa ukaguz. Mambo ni rahisi sana
  4. mabala family

    Mkali wa ujenzi wa kuzuia paa kuvuja

    Hapo umejibu kiufundi sana! Hivyo kwa square meter 1 ni sh ngap?
  5. mabala family

    Jifunze kusoma Alama za Nyakati. Siku ukiona Ulinzi ni Mkubwa basi jua kuwa Usalama ni Mdogo

    Ni somo zuri la kujifunza na mafunzo yenye kutia moyo pale ulipoanguka. Asante mwandishi kwa wakati wako kwa kushare nasi
  6. mabala family

    Nafikiria kuachana na mke wangu

    Duuh! Unaweza fikria uko peke yako ila sometime wake zetu n kichefuchefu, sijui huwa wanajijua! Au ndio kichaa chao Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
  7. mabala family

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Kuhusu hasara za solar kwenye kununua bettery mara kwa mara hii hutokana na kutokupata fundi mtaalamu wa solar au kuto kuzingatia masaa/ idadi ya vifaa ya umeme yaani umeme wa solar ni wa mahesabu kama kununua luku, ukiongeza vifaa au kuwasha hovyohovyo hivyo hivyo luku juu na kinyume chake...
  8. mabala family

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Si shauri hivyo mkuu kutumia bomba moja la kupitisha nyaya za umeme tanesco na solar pamoja, weka tofauti kuepuka leakage/short cct. Kama uko vizur tumia inverter kubadili aina ya umeme au Two wiring kwa nyumba za wapangaji Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
  9. mabala family

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Mfumo wa solar ni pesa yako tu kila kitu unaweza unganisha, Ila vitu vinavyotumia umeme mkubwa kama pasi,jiko huongeza gharama za solar upande wa battery, solar, inverter na charger controller, Lakini kwa mfumo rahisi unaweka uthibiti wasitumie hivyo vitu pindi unapotumia solar Sent from my...
  10. mabala family

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Kwa sasa,kulingana na mambo ya mgao wa umeme, kuwa na mfumo wa solar ni muhimu sana. Mfumo wa solar utatumia hiyohiyo wiring kwa mtu mwenye uwezo kwa kuweka inverter na change over switch ili kubadili tanesco/solar, vyote hivyo vitahitaji distribution network mapema ikiwa ni sehemu ya...
  11. mabala family

    Umegundua nini kwenye picha hizi?

    Rais Samia amekunja ngumi , hana amani ya moyo !!!?
  12. mabala family

    Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

    Una long coat gsd? Ninahitaji jike
  13. mabala family

    Sitasahau jinsi mchepuko alivyo ninyoa vinywele ukubwa vyote, kisha akanipiga picha na kumpostia mke wangu. Mke wangu akafurahi sana

    Mushukru Mungu sana amekupa mwanamke mwema! Lakn angekuwa n mwingine kichefuchefu unge rud kwa mchepuko lkn amekupokea na kuona madhaifu yko
  14. mabala family

    Maalum kwa wababa

    Daaa! Umenikumbusha kitu ambacho baba alikfanya nikiwa mdogo nilishangaa sana kwa kipindi hicho, kwa nn anafanya hii kazi !! Leo hii kile kitu kimenijenga ktk fikra. Wakati ninafanya hiyo kazi nilimweleza mke wangu hii kazi baba aliwahi fanya kumbe ni kwa masilahi ya ustawi wa afya ya watoto...
  15. mabala family

    Ushauri: Mahari ifutwe?

    Tatizo mtoto wa kiume n mharibifu!
Back
Top Bottom