Mwambie Rais awape wananchi hiyo Fursa ya kuunda Serikali utazame maana unachokiongea wewe ni ile habari ya " kama sio mtu fulani tusinge kuwa hapa" ukisahau ya kwamba na wewe ni muhusika. Wapo watu wanaweza.
Hawa ni wale vijana wa Chato walio letewa Containa la Computer na furniture toka United State of America. Kama hukuwa unafahamu Ukanda... fuata Twiga na Tembo.
Unaishi zama za mawe za vita vya mahandaki na mashimo. Unaficha na kuvumbika kambi za jeshi karne hizi za teknologia na utandawazi mkuu? Ukitaka kujua kule kijijini mahindi yako yanaendelea je huna haja ya kupiga simu. Ingia internet utapata kila kitu live, hata kima unaweza kuwaona kama wapo...
Ni uuaji sawa na ule wa kuwabebesha wafanya kazi wa Bandari makontaina ya ya meza chakavu toka Marekani wakati miti na vyuma vya kutengeneza meza tunavyo hapa nchini. Rais akirudi Dar amalizane na hili pia.
Kuna wapuuzi wachache wanataka kuleta habari za nani alifanya hili na nani alifanya kile ili tu kujaribu kumtakatisha aliyepo kwa kuwatupia lawama waliopita.
Hii nchi ni kubwa, Ukiingia kwa pupa utatoka mchafu tu. Mtawabana watanzania humu lakini sheria za kimataifa hazito tuachia hata kidogo.
Akipata Tuzo ndio itaongeza uchumi wa nchi.? Fanyeni kazi acheni ujinga. Wenzetu wanafikiria jinsi ya kubadilisha nchi zao sisi tuna himizana kupigiana kura za kijinga.
Mtangulize Mungu kwenye hili la miaka 7 mkuu. Watu wanadondoka sana kila mwaka. Huyo unaye mwambia anaweza pata Stroke mnaweza kumwacha na afya njema tu.
Na huenda hawa ndio kati ya wale waandishi ambao hata wakipokea taarifa za ndugu zetu kupotea na wengine kuokotwa bahari hawakuona umuhimu wa kuandika hayo badala yake walikimbilia kuandika mazuri na kuwasifia walio hai. Tujifunze .
Wewe si uende ukawaonye Wachina kama una weza. AU ya siku hizi sio ya kipindi cha Nyerere ndugu yangu. Ukifanya upuuzi wako usitegemee utasaidiwa chochote toka ndani ya umoja huo. Kumbuka mambo yote yanayotokea ndani ya nchi zetu siku hizi yana anikwa wazi wazi na hakuna siri. Maisha magumu ya...
Tofauti kati ya Magufuli na Mugabe ni umri tu. Leo hii kama Rais wetu angezaliwa miaka hiyo ya Mzee Mugabe na kupata urais nadhani isingekuwa Bashite tu ambaye angepewa nafasi za juu bali hata kule kijijini chato vitoto vidogo vingekuwa vinapeta kwenye maofisi ya serikali hata pasipo elimu. Kule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.