Wasalaam wanajamvi.
Leo karibia jiji la Mwanza lote mabomba yanatoa maji, hii ni kawaida yao wakuu wa Idara pindi watembelewapo na ugeni wa viongozi.
Mfano wilaya ya Ilemela kuna maeneo unapita mwezi bila maji. Kwahiyo haya mlioamua kutubless leo siku zote yanaendaga wapi?
Tatizo linaonekana pia kwenye picha niliyoambatanisha.
Unawezajiuliza walikusudia nini kuleta hii huduma ambayo sasa badala ya kumrahisishia mwananchi huduma imekuwa kikwazo mwananchi kupata huduma.
Iko hivi, baada ya kupotelewa na mali zako kama simu zamani tulienda polis then ukishariport...
Kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika Balozi Hamis Kagasheki;
Nakumbuka baada ya kupata uhuru 1961, baadhi ya viongozi waliona ni adabu kumuita kiongozi wa wakati huo kama "Mtukufu" na vyeo vingine. Aliposikia alikuwa mkali mno. Alisema mbali na utambulishi wa nyadhfa zake ie Rais au...
Habari wanajanvi,
Nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya mwili kila nikivaa viatu vya raba pia nguo zozote zisizokuwa za cotton.
Nasikia maumivu makali, napata ganzi mwili mzima. Ila nikivaa cotton na viatu tofauti na raba sipatwi na hiyo hali na ikiwepo ni kwa uchache sana.
Naomba msaada kama...
Hivi nyie @VodacomTanzania haya ni makato ya asilimia ngapi?
6JD1lXXXXX Imethibitishwa tarehe 13/10/19 saa 12:XX PM Pokea kiasi cha Tsh9,000.00 kutoka kwa XXXX - XXXXX kwa ada ya Tsh1,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni.
Imagine katika Watanzania 100 wanafanya miamala yakiasi hiki kwa...
Wanabodi habari zakutwa. Kama kichwa kinavyojieleza kwawiki nzima simu zangu zinavyoingia ndivyo nikifika nyumbani mkewangu anavyo nipa taarifa na kulalamikia maongezi yangu akinilaumu. Nimevumilia ila sasa naona huu utakuwa ni mchezo. Ushauri wenu kama kwenye kampuni ya simu ya mtandao ninao...
Wasalaamu ndugu. Poleni na mihangaiko ya kila mara. Binafsi siumwi, ila rafiki yangu anaumwa sana kama nitakavyoelezea hapa chini.
NOTE; Pamoja na kuumwa kwake huku kama hajakwambia huwezi jua kama anaumwa, sababu anatembea ni mzima kama wewe msomaji ulivyo hapo ukimuangalia kwa macho. Ila...
Asalaam
Kama kichwa kinavosema. mwenyeufahamu au ambaye tayari amepata hii leseni ya usafirishaji bidhaa mbalimbali kwenda nchi jirani za Afrika Mashariki, naomba anisaidie kufahamu hatua zakufuata na gharama zake mpaka naimiliki.
Nitashukuru kwa michango yenu
Paza sauti okoa watu wako
[emoji120]
MAWAZO YANGU LEO TAR:14/01/2017
Nimekuwa nanyi katika jukwaa hili kwa kipindi sasa tukishirikiana katika mijadala mbali mbali lakini haya yote yakiendelea nimeona nivema kupitia ninyi niwashirikishe nilichowaza na nilichojifunza katika miangaiko ya...
Wadau tushirikishane mawazo katika hili. Nimekutana nalo katika matumizi ya App moja ikaweza kunionesha matumizi ya kila Application niliyoinstall katika simu yangu na ikaweza kunionyesha kila moja na shughuli yake. Sasa lakushangaza App moja pendwa ikaonekana ndiyo inatumika na udukuzi. Sasa...
Kwa mbwembwe zilezile walizokuja nazo Voda,Tigo Aiter zakuwahadaa wateja wao na vifurushi vya speed ya hajabu bila kikomo na wakaishia walikokujua wao. Sasa kwamwendo uleule Halotel nao zikiwa zimebaki siku Tano ukamilike mwezi mmoja toka wamezindua mtandao huu October 15,2015 walikuja na maneno...
Wana jamvi,
Katika muendelezo wa kuzidi kufanya ghalama za maisha ya kila siku kuwa mbaya, kampuni ya FastJet ambayo kwamuda sasa ilionekana kuwa mkombozi wa wanyonge katika kuhudumia sekta ya usafiri wa anga ambao kwa kipindi kirefu kabla ya ujio wa Fastjet ulikuwa usafiri wa bei ghali. Sasa...
Nimekuwa na uzoefu wa muda mrefu katika kuzijua Simu fake na Genuine. Ila Samsung galaxy NOTE II Gt_7108 Imentoa jasho, kila kitu unachojua kuhusiana na Original inacho
Msaada kama kuna unachojua kuhusu hii simu.
Na nimejaribu kuigoogle na kujiridhisha specs za Genuine bado nimegundua hichi...
Wakati CCM leo katika jimbo la Busega wakiandaa mkutano wao wa kumpokea kwa mbwembwe kwa kuteuliwa kuwa waziri, vivyo pia , bila kujua wananchi wa nyashimo nao hawako tayari kwa hizo mbwembwe.
katika picha ndivyo alivyopokelewa na wananchi
The iPhone "iPhone" could not be restored. An unknown errorleo nimekumbwa na tatizo hilo hapo,wakati nikitaka kurestore iphone yangu.
msaada ambaye amewahi kukumbwa tatizo hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.