sio kila walioko jella ni wakosaji kuna wengine wapo lakini bado haija bainika kuwa anamakosa au la hivyo wana hakii ya kuishi na kusikilizwa. na wakikaa muda mrefu bila kula watafufa na serikali itakuwa liable kwa kukiuka haki za binadamu. hivyo serikali itatue tatizo hilo mapema
hey penetration in moja wapo tu ya element pia wanasema kwa kulazimisha kufanya tendo hilo issue ni kwamba mwanaume hawezii kulazimishwa kufanya tendo hilo kwani ni hadi hicho kitu kisimame na kukaza kitu ambacho kama hujakubali basi haiwezi simama na kusababisha peneration. badala yake tunasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.