Search results

  1. P

    Qatar: Nchi inayomiliki rasilimali zake

    WANASEMA ni nchi ya mfalme na mwanawe. Hawapotezi muda kwenye malumbano ya siasa! QATAR ilipata uhuru mwaka 1971 kutoka kwa mwingereza. Ni nchi inayoongozwa na mfalme. Kumbe mambo yasipoenda hata mfalme hutumbuliwa. Alianza Ahmad Al Thani baada ya uhuru. Mwaka 1972 alipinduliwa na mjomba wake...
  2. P

    KINYUME CHA MAUMBILE NI NINI?

    Walichoshtakiwa hawa vijana waliolawitiana kwenye mahakama nzuri na wanasheria wazuri hakuna kesi hapo. Kwani walitoboa tundu mpya? Ile tundu ni maumbile. Wawashitaki kuingiliana kinyume na utaratibu. Mpaka wakibadilisha vitabu vya sheria jamaa wamesevu. Ubora wa wanasiasa na watunga sheria...
  3. P

    Fred Lowassa: Paul Makonda nimetoka naye mbali sana, nasikitika anavyotumia nafasi yake vibaya kwa manufaa anayoyajua

    Hili linawezekana. Jesse Jackson na u-reverand wake na miheshima yake alishapata kashfa ya aina hii.
  4. P

    Kumbe Bombardier ni maumivu kwa Mtanzania kiasi hiki!? Bunge lagundua...

    Acha ndege hata biashara ya kukodisha baiskeli ukininua baiskeli mpya kadhaa utaanza na hasara. Acheni chuki zenu za kichama. Magufuli anafanya ya maana. Wakati mihela ilipokuwa inaibiwa kwenye skendo baada skendo hamkutangaza serikali imepata hasara.
  5. P

    Sakata la mitumba: Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda. Tanzania, Kenya na Uganda kufuata

    Duh, ni kiwanda gani cha Marekani kitakachokosa biashara wabongo wakiacha kuvaa mitumba?
  6. P

    Ndege nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu

    Walala hoi mlipanda lini ndege. Mwacheni Magu afanye vitu vyake. Mara paap! kaleta helikopta Muhimbili ya kuwahisha wagonjwa hospitali. Hapo walalahoi watapanda ndege tena bure. Wapinzani mlie tu. Mtakufa nacho kijeba cha roho. Magufuli hoyeeeeeee. Ndio kama nimewachafua roho lambeni ndimu...
  7. P

    Ndege nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu

    Kumbe shida yako kulipa kodi. Halafu mnasema serikali ya JK pesa zilikuwepo kumbe mlikuwa hamlipi kodi. Aibu!
  8. P

    Ndege nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu

    Ulitaka ijae kama daladala? JK angenunuaje ndege wakati pesa za kununua ndege ndege mlikuwa mnazimbilinyi kwa ulevi kwenye mabaa.
  9. P

    Serikali ipeleke Muswada Bungeni kufuta Uraia wa Diaspora wanaohamasisha vurugu kwa Watanzania

    Umewasilisha chuki na ujinga mtupu. Nani kakupa madaraka ya kuhukumu watanzania wote waliopo nje? Kwanza kuna viongozi wa upinzani wanaokuja huku nje kupandikiza chuki za kisiasa za Tanzania huku nje. Na ndio walio nyuma ya hayo maandamano unayoyasema.
  10. P

    Trump's Insults Will Nudge African Nations Closer To China

    Use your head. If USA president said something detrimental to America, why would American media be too happy to publicize that?
  11. P

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    Wow, I am good! Nilisema Lissu before kuwa Lissu kakipaka kwa kauli zisizo na uthibitisho.
  12. P

    Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

    Kazi ngumu haijawahi kuuwa mtu. Njaa inauwa watu kila siku.
  13. P

    Historia ya vituo vya kujaza mafuta

    Kituo cha kwanza mafuta kilianzia hapo nchini Marekani katika jimbo la Indiana mwaka 1880. Jamaa alikuwa anaitwa Sylvanus Freelove. Yeye alikuwa anauza mafuta ya taa kwa kutumia hizo pampu za kijima zenye kijisaa juu ndio mita ya pump.
  14. P

    Historia ya vituo vya kujaza mafuta

    Bei inatangazwa kwa maandishi makubwa. Kwenye pump hakuna muhudumu. Ukitaka kulipa keshi unaingia ndani ya kituo unalipa kwa keshia. Ni hivyo hakuna mwenye boda boda atakaejaziwa mafuta uliyonunuwa kwa wizi. Na pump ikizingua utajua haraka sana.
  15. P

    Historia ya vituo vya kujaza mafuta

    Huyo babu ni muhudumu na sare yake ya kazi. Siku hizi unajaza mwenyewe.
  16. P

    Historia ya vituo vya kujaza mafuta

    Zamani vituo vya kujaza mafuta vilikuwa vinaitwa vituo vya huduma (service station). Unabaki ndani ya gari. Mhudumu anajaza mafuta. Anasafisha vioo anapima oil na vitu vya aina hiyo. Kwa Marekani vituo vya aina hii siku hizi unaweza kukutana navyo kwenye vituo vya mafuta vya nje ya miji. Sehemu...
  17. P

    Puma Petrol station ya Mbezi beach Africana acheni wizi wa mafuta

    Badilisheni mfumo. Mafuta jazeni wenyewe. Bongo raha sana watumishi nyumbani, ofisini, shambani, hotelini mpaka kujaza mafuta, haaah!
  18. P

    Puma Petrol station ya Mbezi beach Africana acheni wizi wa mafuta

    Yaani umetoka kujaza mafuta taa ya mafuta bado inawaka na wewe ukaendelea kuendesha gari? Mavilinga stori haya......
Back
Top Bottom