Habari.
Nikiwa kama mdau kwenye sekta ya Maji Kwa muda mrefu kuna jambo nimeliona halipo sawa.
Naomba TAKUKURU Mfuatilie maana wahusika wanajulikana.
Ni mazoea kwasababu yanafanywa kila siku lakini kuna muda inafika Athari inakuwa kubwa kwa Taasisi .
Kwenye sekta ya Maji kuna upande unaitwa...
Rushwa tu hakuna kingine.
Nilienda Kigoma nikakuta kuna Mchina anafanya mradi fulani akaniambia sasa tunataka tujipenyeze kwenye wizara fulani ili nako tuwe tunapata miradi.
Akaniambia hebu nisaidie kupata watu huko ili nipate miradi.
Nikamwambie ujanja huo sina na huko sikujui.
Kuna nini...
Tapeli uyo mkubwa,ukifanya naye jambo lazima akuache beach.
Hawa watu wakiwa wanaongea utadhani ni wazalendo lakini kiundani ukijua mambo yao hawana tofauti na Dude yule wa Bongo Dasalamu
Acha kelele hakuna chochote hapo kinafanyika zaidi ya mboyoyo.
Hela wanagaiana wao kwa wao na vikundi ni vyao,hakuna kitu yoyote utapata hapo zaidi ya commission za watu.
Unasema watu wanafundishwa kuchimba mtaro??,usafi?? Hebu kuwa serious
Hoja yako ni nzuri sana na niseme tu Mama anashauriwa vibaya hawa wajanja waliokuwepo nae wameshindwa kupitisha vi memo ,wamemuingiza King akakubali.
Kifuatacho Mkuu wa shirika lolote atakapohitaji kuajiri watu ambao anaowataka atapitia njia za mkato,kwa maana anaweza akatumia kigezo...
Lengo la Uzi huu ni kutoa kasoro kwa baadhi ya mapungufu machache kati ya mengi niliyoyaona CRDB- Dodoma.
Haya nimeyaona hususani katika matawi ya Mazengo na Chamwino yote yaliyo Jiji la Dodoma.
Mathalani moja ya kasoro ya mara kwa mara ni Teller anatumia muda mwingi sana kukuhudumia tofauti...
Iyo tabia ya mwanadamu au ya mbongo!!? Kama unaamua kumsaidia mtu usiangalie nyuma!
Maana Kuna sehemu watu wamefika inawezekana pia ni mmojawapo,kwa kusaidiwa hapo walipo! Hao wangetaka kuangalia nyuma kwa kusema hayo, ungefika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.