Nimeifahamu hii hospitali kwa muda mrefu tangu nikiwa mdogo. Ilikua ni hospitali nzuri sana, ila kwa hili lililotoke wiki moja ilopita sina hamu na hii hospitali
Tulimpeleka dada yetu akiwa anasumbuliwa na tumbo, akapimwa kujua nn tatizo tumboni kupata hayo majibu sasa ndio balaa, kila ukiuliza...
tbc1,taarifa ya saa 2 usk jana.hawakutoa taarifa kwa kina zaidi ya kusema mrisho gambo nae alikua sehemu ya tukio kushuhudia.nahitaji kujua undani wa tukio...
Nilisikia tbc1 jana kwamba kuna dhahabu ilikamatwa arusha,kilo kadhaa kwenye bus zikitoroshwa kwenda nchi jirani.mwenye kufahamu idadi kamili ya dhahabu hyo na ilikua inatoroshwa kwenda nchi gani?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.