Nataka nianze kumsikiliza huyu mwamba .. baada ya kujua kuwa Yeye na studio yake wameproduce Soundtracks za kwenye Creed 3 .
Wanazi wa hip hop
Scars
Extrovert
Nipeni ngoma tano Bora za huyu mwamba nizisikilize.. itakuwa vyema pia nikipata na facts kumhusu
Yule twiga kwenye tanesko nashauri tumwondoe ..
Tutafute mnyama mwingine ambaye Yuko fast, Pia ni reliable .. pi anajua how to secure his kills .
Wakuu mtanisaidia falsafa ya mnyama twiga ni ipi?
What so special about twiga Mpaka awepo kwenye Shirika tata lenye majukumu Ya kizalendo na...
Video zikionyesha baadhi ya athari zilizotokana na Mvua kubwa ya mawe iliyonyesha Mkoani Kilimanjaro, Wilaya ya Hai Tarafa ya Machame Mashariki.
Jogoo mbegu Hannah TODAYS
Jinsi nilivyo, ulivyo ni matokeo ya Malezi/makuzi.
Hii ni story ya maisha yangu, nilizaliwa 1998, mjini Singida Hospitali ya Makiungu na kupewa Jina Julius na baba yangu.
Kwa mujibu wao na watu walionilea ni kwamba nilikuwa active sana na, nilipenda kujifunza, I was a prodigy. Kwa kumbukumbu...
Unamwagilia moyo ukiwa wapi?
Na maji yepi/kinywaji kipi? Let it be liquor.
Lite ama Windhoek.
Wine ama beer.
Ngumu ama laini.
Kama kuna namna yeyote wamwagilia moyo share nasi.
Share nasi.
I do smoke, I do drink just to get lost in time.
Thinking. Stratergzn.
Una mwanamke mpo kwenye mahusiano, hasikii haambiwi, haoni. Ni kiburi pamoja na dharau pale ambapo anakuwa amekosea, unatamani umzabe kofi umsororoe hiyo mikamasi kwa ndoo(kichwa). Ila unamtazama tuu unamvutia kasi. Diplomasia imetumika mpaka yenyewe imechoka inataka kuchanja mbuga.
Mimi niko...
Kwa uchache KWA kutizama megaprojects za Zanzibar... Kama
Ujenzi wa uwanja wa cricket wenye Thamani zaidi ya dola mil 30 .
Ukodishwaji wa Visiwa vyake KWA wawekezaji.(Uchumi wa buluu KWA ujumla)
Real estates projects.
Nk.
UONGOZI huanzia kwenye ngazi ya familia, Ukoo Jamii na hata Taifa KWA ujumla.
Jinsi Taifa linavyojiongoza ni matokeo ya UONGOZI bora kwenye ngazi ya familia , kama UONGOZI//makuzi /maelezo ni ya hovyo Taifa hilo ni la hovyo , halieleweki , halithamini, halihuishi ,halijali ,halitilii maanani...
Russia has added blood supplies to its military buildup on Ukraine's border, Reuters reported.
This could be another sign its planning to invade, experts said.The supplies could be used to treat casualties if Russia invades.
In another sign it could be preparing to invade, Russia has now...
PENZI LA UDANGANYIFU. Ilinyesha kama haijawahi kunyesha hapo awali, siku ile ilikuwa ni ya kipekee. Nilionekana nadhifu na mtanashati ndani ya suti yangu nyeusi, na nilinukia kama mfalme. Sikutaka chochote zaidi ya kutegemea mazuri kutwa nzima.
"Siyo mimi ni wewe" Nilipokea ujumbe kwenye simu...
Kwa nini HATUPENDI KUONA wenzetu WAKIFANIKIWA?
Tunaishi kwenye ulimwengu wa mashindano ambapo tumefundishwa kufanya ulinganifu wa Maisha yetu na ya wengine.
Wapatapo mafanikio wnzetu kwetu huwa ni pigo Kubwa Sana, Mara nyingi huwa hatufurahii mafanikio ya WENZETU.
Mara nyingi Tunaamua...
Jaji ameingia Mahakamani.
Kesi Na. 16 ya mwaka 2021 inatajwa
Kesi namba 16 ya 2021, jamhuri dhidi ya Khalfan Bwire, Adam Hassana Kasekwa (Adamoo), Mohammed Abdalah Ling'wenya na Freeman Aikael Mbowe
Jaji anamuita Wakili wa Serikali...
Wakili wa Serikali anatambulisha Jopo lake
Robert...
Kuna uwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya, ubalozi wa Marekani, ubalozi wa Canada, ubalozi wa Uingereza na ubalozi wa Sweden wapo nje na wao wanasubiri chumba cha Mahakama kifunguliwe, ili waingie pamoja na watu wengine..
Najua wewe mwanajamii mwenzangu ushawahi kusimuliwa ama kusikia kuhusu fedha hizo, au mtu mwenye nazo, au uko nazo basi huu ni uzi wa kushare nasi visa hivyo.
Mimi niliwahi kusikia tajiri mmoja hivi huwa analala chini, na ana noti ya tsh elfu kumi ambayo haitumiagi miaka nenda rudi ndo...
Nikianza mimi Huwa natumia mswaki wiki mbili Natupa,Yaani ukichange shape yake(ukianza kuchambuka ).
Wakuu Embu tujali afya ya kinywa.Unakuta mtu mswaki una Miaka miwili mpaka minne,.
Alafu unakuta mtu analalamika mdomo unanuka,Fizi zinauma,.
Kwa Hali hiyo ya kutumia mswaki mmoja miaka...
My whole body is getting numb and tingly, I can't bear it, I've gone through Tests,I got no Diabetes or Blood pressure. I've take neurobion Tabs nothing works. I've got Arab herbs ,bunch of them still no difference .
I can't bear it.
Please excuse my English grammar.
Little joke before I die...
Kwema wakuu.
Naombeni msaada computer yangu ,Ilizima ghafla Jana wakati ninaangalia movie .
Nikichomeka Kwenye socket plug ..inawaka button ya Turn on/off Ila system haipokei power ...fan hazirotate..
Hakuna kinachofunction .
Chief-Mkwawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.