Wakuu,
Ndo tabu ya kujenga demokrasia kwenye nchi masikini kama Tanzania, sio kazi rahisi hasa mafanikio yakishaanza kuonekana au kupata mafanikio kidogo sana, taasisi zinazoijenga demokrasia hasa vyama vya siasa husambaratika. Vikipona kusambaratika huushia kwenye migogoro isiyokuwa na kichwa...
Nimemsikia Nape akisema kupitia TBC1 kuwa ETI si lazima aliyeshinda kura za maoni Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha Magamba(CCM) akateuliwa na vikao vya CCM kuwa mgombea wa Chama hicho katika uchaguzi mdogo ujao!! Hii imenistua kwanini Nape aseme hili kwa Arumeru na hakusema kwa Igunga...
23.1K
92.3K
0digg
RAIS Jakaya Kikwete, amekiri wazi kuwepo kwa vuguvugu la upinzani lenye nguvu kubwa hapa nchini, na kuonya kwamba, iwapo Chama cha Mapinduzi (CCM), hakitajirekebisha katika mienendo yake inayoonekana kuwaudhi wananchi, chama hicho kipo hatarini kupoteza hatamu ya...
Blayi wa Mpwapwa,
Unatia kichefuchefu sasa kwa hoja zako. Hivi nani zumbukuku kati yangu na wewe? Hivi Chama kinachokufa kilitufanya nini Igunga?? Kimetufanya nini Uzini? Sisi tumepeleka wakubwa wote, mkiti,katibu na kadhalika wao wamewaachia vijana tu matokeo CCM 5680, sisi CDM 218!!!!!! Shame...
T 2015 CCM,
Aaah hadi wewe wanikejeli ama kweli nyani bwana..... Hivi vuvuzela baada ya kuburudisha anafaida gani? Nilichouluza kimetokea nini mbona kaachwa kunyukwa kila siku kama zamani? Au kachanyamazishwa??? Wabunge walishindwa nini kumtoa wakati walimpania kwa kuingilia posho zao????
Hivi huyu vuvuzela wa CCM hii kasi yake inakwenda wapi? Kaacha kutukanwa sasa kwa sehemu kubwa, anaandikwa na kuripotiwa vizuri na media kwasasa ukilinganisha na mwanzo! Haya yanatokea yenyewe au yanatengenezwa?
Na kama yanatengenezwa na nani? Maana naamini Nape hana akili hiyooo! Nadhani iko...
Tundu Lisu na Chadema wamfagilia kikwete bungeni, utadhani si hawa waliotoka nje wakidai hawamtambui... Hata hivyo ni ukomavu kisiasa, kumtambua Rais na nia yake njema ya kutaka nchi yetu ipate katiba nzuri kwa masilahi ya watanzania wote! Bravo Lisu, bravo Chadema kwa kuamua kula matapishi...
...nimekuja ofisi za cdm hapa nakuta ndo anaingia meya wa jiji la Mwanza huku analalamika..." niliwaambia hatutawaweza hawa safari hii wanasaidiwa na mashushushu wa serikali mkanibishia sasa oneni hii aibu y a mwaka, yaya gete"
Kwa hili chama changu CDM tumeaibisha sana, nimekuja hapa mabatini kwa machinga nao wamenuna kwanini tuliendea vijana Tarime huu ujinga nani alitushauri?!!!! Shame on us!
Kwani nani kaiga za mwenzake Sokwe? Nikumbukavyo mie Nape kaanza mda mrefu na suti hizi hata kabla hajawa Dc, nadhani ungesema Mnyika kaiga... We angalia hata viatu vyaooo
Dogo wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa.
Nape amedai wataalamu ndio hu draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali, akatoa mifano...
Dogo vuvuzela wa CCM Nape Nnauye leo mchana kawatolea uvivu wanataaluma wa (Tanzania Profesionals Network) kwenye summit yao iliyofanyika Mlimani City wakati yeye na Mnyika wakitoa mada ya Uzalendo na Utaifa.
Nape amedai wataalamu ndio hu-draft mikataba mbalimbali inayoingiwa na serikali...
.... Na nichukue nafasi hii kuwashukuru NEC kwa uamuzi wa kutomfukuza mapema kwani pesa anazozirudisha makanisani baada ya kuziiba sana angeacha mngekuwa mmemfukuza, bora hivi sasa aendelee kutoa sadaka kwa makanisa dhambi zipungue.... Makanisa mnaotaka wasilianeni na mimi au John N...
Huku akitetemeka EL anasema...
" ...ni kweli Ndugu Mwenyekiti kuwa tulitajwa watu watatu kwenye NEC ya April kuwa tunatuhumiwa kwa ufisadi huko "site".... Lakini niliamini yale yalikuwa mtazamo wa baadhi ya watu lakini yalikuwa hayajathibitishwa, na niliamini yalikuwa ni kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.