Mkuu hiyo ni kazi usitake vya bure lipa hela wataalamu wakufanyie quotation (BOQ) hii itakusaidia Kama umeweza kujichanga hautashindwa kulipa laki 1.5 au 2 kwa mtaalamu ili akuandalie boq kiongozi lazima uwe na mchoro.
Sasa kila kitu mnataka bure hii ni kazi kubwa mnataka wataalamu tuishi vipi?
Mnataka wataalam wote tucheze kamali tusaidiane tusitake bure maana wengi tunalipa kodi kwa kazi hizi kuweni wazalendo changia uchumi wa nchi kwa kufanya kazi na wataalamu na taasisi zinazolipa kodi.
Kama bado...
Hii mada ilipotezewa kwasababu wengi waliomo facebook ni vijana walio katika ajira wameshiba hawajui kuhusu kesho mevimbiwa na leo, Siku ikifikia umri wa kustaafu watakumbuka mda umewaacha
Haya makosa yalini gharimu kuwa makini sana unapofanya investment uwe tayari una uhakika wa kukamilisha vinginevyo hata ulichokianzisha kitaharibika bure
Waha siyo wastaarabu ukiwawekea vyoo uwawekee na mabunzi au karatasi ngumu najaribu kuwaza ustaarabu wa waha.
Waha acha wapande treni huu ustaarabu wa luxury zenye vyoo ndani bado
Mwanaume mmoja Maarufu Kipara mkazi wa mjini Kibaha (mtaa wa mwanalugali A kata ya Tumbi) yupo mahututi baada ya kumwagiwa uji wa moto na mpenzi wake wa kike kisa wivu wa mapenzi kiukweli picha ni za ukatili wa kutisha nimeshindwa kuweka hapa.
Taarifa za uhakika Mke wake huyo tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.