Hujaeleweka mkuu, au unamaanisha kutoka nje ya Dar??? Kama za ugenini kashacheza mbili...............nyie ndo wale mkiulizwa uwanjani kuna wachezaji wangapi wanacheza unajibu haraka 22, huku ukisahau mwamuzi wa kati na wasaidizi..........
Muda si mrefu watu wa Dar nao wataitwa wa mikoani...... Ila nahisi kama tunakurupuka hivi...... Ila nimeota tu...... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Dragnet IPO nyingi sana, hii inatoka Uingereza na siyo USA, inasambazwa na kampuni ya Juanco, Metro pia ni dawa nzuri.....nyingine ni Lamdacyhalothrin etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.