Hizo kazi zipo sana katika mkoa wa pwani haswa kuanzia Mwandege hadi Mkuranga, changamoto kubwa ni malipo maana wanaanzia shilingi 5,000.00 hadi 6,000.00 kwa siku. kama unaishi maeneo hayo ni nafuu kidogo ila kama utahitajika kulipa nauli hamna kitu. Pia wachina wanakaba mwanzo mwisho hakuna...
Mtoa mada acha uzwazwa, mtu kuoshwa ni taratibu ya lazima kwa muislam yoyote atayekufa na maiti yake kupatikana. Kuna heshima ya kumtendea marehemu haswa akiwa alikua na nyumba yake mwenyewe ambayo moja wapo ni kuoshewa nyumbani kwake nai inapendeza wakati kumuosha kama ni nyumbani lichimbwe...
Alikua mtu makini na mwenye misimamo wakati yupo ITV kupitia kipindi cha sema usikike. Kumbe ilikua njaa tu alipopatiwa ulaji akawa nyota wa kusifia na yale aliyikua anayakandia sema usikike na kukandia yale aliyokua anayasifia.
Alishawahi sema "Dunia aikaliki, ahera hakuendeki nimepatwa na mfadhaiko" katiki wimbo wa V.I.P, hapa naona kama alikua anadhihaki uwezo wa Mungu na Akampeleka ahera ili akakujue vizuri.!!!
Usione vyalelea ujue vimeundwa!!! Mkuu investment aliyofanya Azam ktk kufanikisha kwake kuona hizo mechi sio ndogo, kuna ajira, watu wamepata, ushindani umeongezeka na muamko wa soka umekua mkubwa. Vile tulivyokua tunaviona DSTV sasa vinaonekana Bongo, tumpe sifa amefanya kazi kubwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.