Jarida lasifu ndege mpya za Magufuli
JARIDA mashuhuri duniani la Forbes, limezitaja ndege aina ya Bombardier Dash8 Q400, ambazo tayari Tanzania imezinunua kuwa ni zenye usalama, zinazotumia mafuta kidogo. Limetabiri kuwa zitakuwa nguzo muhimu kwa usafiri wa bei nafuu kwa nchi mbalimbali...
Katika nchi kama Tanzania vyama vingine (vya upinzani) japo huaga sipendi kuviita vya upinzani labda niviite vya mageuzi au vya maendeleo, hua vinakosa ushindi kwenye chaguzi kuu kwa sababu ya tamaa ya madaraka ambayo huzaa mgawanyiko na kukifanya chama kinachotawala kubakia na wapenzi wengi...
Nina computer aina ya intel ni hii mitumnba ya computers 4 Africa, inafunguka ndani kwa ndani lakini monitor inakataa ku-display, yaani imepoteza stability kabisa. Naomba msaada namna ya kuirudisha katika hali yake.
Nina computer aina ya intel ni hii mitumnba ya computers 4 Africa, inafunguka ndani kwa ndani lakini monitor inakataa ku-display, yaani imepoteza stability kabisa. Naomba msaada namna ya kuirudisha katika hali yake.
Utasikia mtu tangu anaanza safari asubuhi mpaka anafika safari yake jioni anapiga simu kila baada ya dakika kumi kutambulisha alipofika, utadhani kabeba pembe za ndovu..!!
Hivi binadamu akifa ndio imetoka sawa tu na ng'ombe, mbwa, mbuzi, nzi, n.k.?
HASHA: Sikia jibu kutoka kwa Yesu mwana wa Yehova aliye Hai; "Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa inakuja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa...
Kwa jinsi baadhi ya form one
walivyo wadogo kiumri,
inaashiria kwamba kwa baadae
kutakuwa na walimu
watakaokuwa kwenye peer
group moja na wanafunzi wao,
ina maana kwamba walimu na
wanafunzi wao wote
watakuwa adolescents, ina
maana kwamba wote watapita
chocho zilezile, ina maana
kwamba...
POKEENI BARAKA ZA
YEHOVA NINYI NYOTE
MNAOMTUMAINIA:-
"Bwana akubarikie, na kukulinda;
Bwana akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;
Bwana akuinulie uso wake, na kukupa amani."
Kwa Jina la Yesu,
Amina.
(Hesabu 6:24-26).
Kweli nimeamini msemo
usemao "mzigo mzito mtwishe
mnyamwezi" kuna viongozi
fulani wa serikali ya wanadamu
waliomba fedha kwa ajili ya
kuboresha elimu kwenye nchi
hiyo, badala yake
wakazikwapua zote, lakini
wafadhili wao wakawa
wanahitaji taarifa ya matumizi.
Wakaamua kuwatwisha walimu...
Maadili ya muumgano
yafuatwe, ambayo ni:-
1. Viongozi kujali maslahi ya
umma (watu wote) kuliko
biashara zao binafsi wakiwa
madarakani.
2. Kwamba rushwa ni adui wa
haki, na watu wote waseme
amina.
3. Kwamba bungeni sio shamba
la bibi, hivyo wabunge
wajipangie mishahara ambayo
tofauti...
Polen wlmu, (cwt) inakusanya
sh bil2.2 kw mwez kutoka ktk
mishahara yenu, na kwa mwaka
ni kiasi gani? Cwt haikaguliwi
na c.a.g mahesabu yake ,
wabunge wana shaka juu ya
viongozi wa chama
kujinufaisha , walm wapya
wanakatwa makato bila
kujulishwa, mkistaafu cwt
haijaeleza wanachama...
Wana JF laptop yangu imepoteza uwezo wa kuongeza au kupunguza brightness baada ya kubailisha window 7 home pentium, version ya microsoft office 2010 kwenda window 7 ultimate version ya 2007 wakati wa ku-partition. spec. ni Dell Inspiron M5040 AMD speed ni 1.65GHz, ram 4.00Gb na hdd ni 582Gb...
Kuna shirika moja lisilo la kiserikali, la Rural Future Vision (RFVi), linadai kamba kwa sababu ya kutumia sana earpiece/headphone kusikiliza muziki wa kwenye simu baadhi ya vijana wa leo watapungukiwa na uwezo wa kusikia vizuri watakapofikisha umri wa miaka kuanzia 78 na kuemdelea.
Pia...
Jamani, hivi kwanini wanawake wengi hasa vijana hawapendi kuvaa nguo za ndani ya nchi.
Watu wengi wanapenda mitumba hadi sindiria, sox, gloves, kofia, n.k.
Ni wanakwaya za dini tu ndiyo wanavaa suruali za hapa hapa.
Hivi ni kwa nini siku hizi watu wengi hasa vijana wa kike na kiume wamekuwa na mazoea ya kuishi kama mke na mume ilhali hawajaoana? Mara nyingi kisingizio ni 'mpenzi' wangu. Utasikia kijana anajitapa, huyu ni mpenzi wangu nimezaa naye watoto wawili. Ninachofamu mimi wanaozaa watoto ni wanandoa...
Wakuu, mna habari kwamba mafisadi wameficha fedha kwenye m-pesa za watz wote? Sema tu wamezipiga pini hazichukuliki wala kuhamishika. Ni substancial amount, laki 8, 7, sita n.k. mpaka bank accounts updating itakapomalizika watazirudisha kwenye original a/c.
THE Parliamentary Public
Organization Accounts
Committee (POAC) has formed
a probe team comprising three
legislators to investigate fraud
at Mkwawa University College
of Education after discovery of
massive theft of money.
This come two days after a
Loans Board official, Ester
Budili...
Hivi kwa nini biashara ya albinos' organs hushamiri kipindi cha kampeni za uchaguzi? Imenibidi kuuliza swali hili coz vitendo vya mauaji ya albino, uchunaji ngozi, safari za bagamoyo kufukizwa ubani na kuvalishwa mihirizi, hujitokeza zaidi kipindi cha karibia uchaguzi.
Uchunguzi uliofanywa hivi majuzi kuhusu mtizamo wa wasanii wa tz towards sera ya usenge, imebainika kwamba, baadhi ya wasanii wa kiume, hasa wale wanaopenda kuvaa heleni, chachandu/shanga, mlegezo na kuonesha tuchupi/tumatako a.k.a tumasaburi, kukarikiti nywele, kusuka nywele, kujipodoa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.