Search results

  1. N

    Bunge la Ujerumani: Serikali ya Tanzania inatakiwa kutafuta mbadala wa mabwawa kuzalisha Nishati ya Umeme

    Suala la umeme ni muhimu vinginevyo mradi wa SGR itakuwa kazi bure
  2. N

    Faida ya karafuu katika kuchelewa kufika kileleni

    Kweli dushe zinateseka kwa madawa zitafika kaburini zikiwa hoi bin tabaani.
  3. N

    Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

    Kwa kawaida mtu mwenye akili ndogo hawezi kuelewa kitu ambacho hakakiona kwa macho, kuamini kwamba Mungu yupo ni kuiruhusu akili ione badala ya macho. Mtu mwenye akili ya kawaida husubiri macho yapige picha ya kitu yapeleke hiyo picha kwenye ubongo kwa ajili ya kukitambua. Lakini mtu mwenye...
  4. N

    Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

    Bila shaka hapingi uwepo wa Mungu ila ameshindwa kabisa kuelewa kama Mungu yupo yaani imemuwia vigumu kuweza kuelewa kitu ambacho hajakiona kwa macho. Anajua kwamba magari, majumba, nk, yapo kwa sababu ameyaona kwa macho.
  5. N

    Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

    Kuamini ni kazi ngumu na yenye kutumia akili nyingi zaidi kuliko kufikiri maana kufikiri kuna ukomo kutegemea uwezo wa ubongo. Lakini kuamini kwa dhati ni kushughulika na kitu ambacho hakionekani kwa macho (invisible), hakigusiki (intangible), hakiingii akilini, hakisikiki (inaudible), yaani...
  6. N

    Tetesi: Ni nini faida za CWT Kwa wanachama wake ambao ni walimu

    Sijui hata bati zenyewe kama huwa wanatoa
  7. N

    CRDB Bank yaondoa rasmi Riba ya Mkopo ya 13% na Sasa ni 16%

    Hakika, na benki zetu hazikopeshi kwa ajili kukusaidia tu bali wanafanya ni biashara kama biashara zingine tu za kutafuta faida
  8. N

    Nini kinaendelea kwenye huduma ya songesha kutoka Vodacom

    Utakuwa unadaiwa fedha nyingi sana
  9. N

    Waziri wa Elimu, toa tamko kuhusu wanafunzi kubaki shuleni wakati wa likizo

    Suala ni sheria sio ridhaa au maamuzi ya kila mtu kivyake
  10. N

    Waziri wa Elimu, toa tamko kuhusu wanafunzi kubaki shuleni wakati wa likizo

    Sheria inamtaka mwanafunzi akapumzike wakati wa likizo na sheria inamtaka mwanafunzi ahudhurie masomo siku za masomo
  11. N

    Waziri wa Elimu, toa tamko kuhusu wanafunzi kubaki shuleni wakati wa likizo

    Sio suala la kumzuia ni mwongozo wa wizara ya elimu kwamba siku za kuhudhuria masomo ni tuseme, 198 siku zinazobaki ni weekend, sikukuu na siku za likizo, sijui kwa nini walimu wakuu wanapingana na anateandaa mitaala
  12. N

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Nyerere alikuwa Icon sio hapa nchini tu Bali pia Moçambique, Rhodesia ya kaskazini, Rodesia ya kusini, Bichuanaland, Afrika kusini, Angola, nk.
  13. N

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wapo sahihi kabisa kufanya mchakato wa kumtangaza Mtakatifu, ukifuatilia watawala wenye itikadi ya kijamaa na kikomunisti Nyerere was the only committed christian. Wenzake akina Mao, Che Guevara, Castro, Brezhnev, Nguyen Kim il Sung, n.k., Kingunge, nk waliabudu Manifesto za vyama vyao.
  14. N

    Mtaala mpya wa elimu, walimu jiandaeni kurudi shule

    You are right, in private schools the graduates are needed only during the registration of a school. After that it is form six leavers who are cheaper and more efficient at work.
  15. N

    Wanawake acheni utoto ili tuwaoe

    Kwa maelezo hayo hata ukitafuta hela nyingi kiasi gani, kwa mtindo huo demu atazimaliza maana na yeye atapanua matumizi
  16. N

    Tanzania inahitaji Rais kama Hayati Magufuli

    Afadhali ile ile njemba ilidanja Tanzania ingerudi kwenye ujima na ingejitenga na kabisa na nchi zingine kama wamang'ati wanavyoishi maporini
  17. N

    Sababu 6 kwanini wanawake/wake za watu hutoka nje na kufanya mapenzi na wanaume wengine

    😂😂😂 Sasa hiyo akili ndio tueleweshane maana hata wao wamesoma hayo maadiko wasije wakatuzidi hiyo akili kama Hawa alivyoonesha kumzidi akili Adamu akaanza kumuelekeza Cha kufanya wakati Adamu ndie aliyeumbwa kabla yake.
  18. N

    Na hili la asilimia 33% mafao uzeeni badala ya asilimia 25% (kwa iliyokuwa PPF na NSSF) na badala ya asilimia 50% (kwa iliyokuwa PSPF na LAPF)

    Hapo umetoa ufafanuzi mzuri sana, maana kinachotajwa ni kupanda kutoka 25% kwenda 33% tu, lakini hawataji kushuka kutoka 1/540 kwenda 1/580 na kushuka kutoka miaka 15.5 kwenda miaka 12.5 ambavyo vinapunguza sana mkupuo.
  19. N

    TAHADHARI! Kama unategemea kununua Kirikuu/ Suzuki carry Soma hapa

    Nashukuru sana kwa maelezo hayo nilikuwa na mashaka kuhusu Suzuki Carry kumbe shida imetokana na overloading na misoto mingine lakini otherwise gari ni nzuri na imara ni matunzo tu, asante sana
Back
Top Bottom