Watanzania tuwe makini, hizi juhudi za kuisahaulisha tanganyika zina lengo gani? Hawa watu mi siwaelewi kabisa. Hivi wanadhani tanzania itadumu hadi lini? Tanzania ni zao la muungano wa tanganyika na zanzibar hivyo siku muungano huo ukivunjika tunadhani tutabaki na jina gani? Tuendelee kulienzi...
NYUMBA YA JIRANI INAUNGUA, YETU INATEKETEA.
Tarehe 9 Desemba 2011 tutasherehekea miaka 50 ya uhuru wa nchi ya Tanganyika. Kwanza nianze kwa masikitiko kwa namna vyombo vya habari vinavyojitahidi kupotosha na wanaelekea kufanikiwa. Mara nyingi wamesikika wakisema kuwa ni uhuru wa miaka 50 ya...
Ndugu zangu watanzania tunapaswa kuwa makini kuliko wakati wowote ule. Tufahamu ya kuwa wabunge wote watakaopokea nyongeza ya posho hizo ni wasaliti na wazandiki wakubwa wanaopaswa kutoswa na kufikishwa mahakamani kwa kuhujumu uchumi. Wakati bado wanamageuzi walikuwa katika mchakato wa kukataa...
NYUMBA YA JIRANI INAUNGUA, YETU INATEKETEA.
Tarehe 9 Desemba 2011 tutasherehekea miaka 50 ya uhuru wa nchi ya Tanganyika. Kwanza nianze kwa masikitiko kwa namna vyombo vya habari vinavyojitahidi kupotosha na wanaelekea kufanikiwa. Mara nyingi wamesikika wakisema kuwa ni uhuru wa miaka 50 ya...
HOJA HUJIBIWA KWA HOJA. WANA FIKRA PEVU WANATUMIA AKILI KUFIKIRI NA WALA HAWATUMII HISIA. NAFAHAMU KWAMBA WATU WENGI HAWAPENDI KUKUBALIANA NA NDUGU MOHAMED SAID, WENGINE WANALETA MISAMIATI AMBAYO HATA WALIYOIANZISHA WANASHINDWA KUTOA MAANA ZAKE.
NINI MAANA YA UDINI? WATU HAWATAKI HATA KUTAFAKARI...
Maaskofu hawaaminiki hata kidogo, hivi hamjawashtukia tu?
Mwaka 2005 walitwambia kuwa kikwete ni chaguo la mungu, walimpigia kampeni hadi makanisani. Kila mwenye kumbukumbu anakumbuka vema sana. Walimpa biblia nyingi mno.
Sifahamu ni lini mungu aliwaotesha kuwa kikwete si chaguo la mungu...
NDUGU ZANGU TUTUMIE HEKIMA ZAIDI KATIKA KUTOA MICHANGO YETU. MITANDAO KAMA HII ITAKUWA NA FAIDA KUBWA SANA KAMA TUTAKUWA TUNAJADILI MAMBO YATAKAYOTULETEA MAFANIKIO KATIKA TAIFA LETU. NDUGU ALIYETULETEA HABARI KUTOKA KATIKA GAZETI LA ANNUUR HAJATWAMBIA KICHWA CHA HABARI KILIVYO BADALA YAKE...
NDUGU ZANGU TUTUMIE HEKIMA ZAIDI KATIKA KUTOA MICHANGO YETU. MITANDAO KAMA HII ITAKUWA NA FAIDA KUBWA SANA KAMA TUTAKUWA TUNAJADILI MAMBO YATAKAYOTULETEA MAFANIKIO KATIKA TAIFA LETU. NDUGU ALIYETULETEA HABARI KUTOKA KATIKA GAZETI LA ANNUUR HAJATWAMBIA KICHWA CHA HABARI KILIVYO BADALA YAKE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.