Mkuu hapa hoja yako imeegemea sana upande mmoja.Ni kweli LOWASA amelitendea kosa taifa letu na wananchi pia kwa ujumla.Mimi nakubaliana na wewe uko sawa kutokumsamehe kwa alicholifanyia taifa kwa kuwa huo ni utashi wako wewe.
Hapa ninachopingana na wewe ni kuwa,huyu LOWASA ni mwanadamu kama...
Ndio maana nikasema kwa mtazamo wangu huyu jamaa ni gwiji wa tasnia ya habari lakini kumbe hana kabisa busara za kujenga hoja zake.Kwa hili naona kama rais amechemka kumteua kwa kuwa hana msaada sana kwa rais.Huwa anaishia kumdanganya tu rais katika masuala ya sheria.Mfano mzuri ni uandikwaji wa...
Paka Jimmy ni ugeni tu ndio unanitesa ndugu yangu.Nashukuru sana kwa elimu yako ulionipa.Kweli hapa JF kuna mengi ya kujifunza hasa kutoka kwa wale member wenye nia ya dhati na maendeleo ya taifa letu
Werema alisema kuwa wabunge wasiongee sana bungeni kwa vile TV zinawaonyesha.Akimaanisha kuwa...
Nampongeza sa spika wa bunge letu tukufu Mh Anne Makinda kwa kulitendea bunge haki japo hata kwa mara chache sana.Jana mama huyu alionyesha ujasiri wa hali ya juu sana pale alipomueleza bila kupindisha maneno kuwa Mwanasheria mkuu wa serikali amelikosea bunge hivyo anapaswa kufuta kauli ya ke...
Kwa mtazamo wangu yawezekana kabisa mmoja akawa zaidi ya mwenzake kwani Kiongozi kama waziri mkuu anapimwa kwa uwezo wake wa kuchapa kazi na uwajibikaji na hasa ule uwezo wa kuthubutu.Angalia hivi vigezo halafu utajua nani kati ya hawa wawili ni zaidi ya mwenzake.
1.Uwezo wa kuchapa kazi
Kwa...
Mungu amemuita huyu shujaa wetu,mola ailaze roho yake mahala pema peponi.Kweli tutaendelea kumkumbuka kwa yote mema aliyofanya kwa taifa letu.Pia tumsamehe kwa yale aliyoteleza kama mwanadamu.
Jeshi letu limempoteza jemedari wa kweli mwenye kuigwa na vijana wengi wanaochipukia kwenye hili jeshi...
Mwanzoni nilikuwa najiuliza hivi huyu Nape Moses Mnauye anaweza kubeba madaraka aliyopewa na wana-ccm? Nikasema nisimuhukumumngoja nione atakavyowajibika kwa sababu usmuhukumu mtu hadi umuone na hatia.
Nikaja kugundua kumbe alikuwa amepewa madaraka makubwa sana ambayo hatoweza kutekeleza kwa...
Kweli kazi ipo,hivi unaweza kutetea kweli haki za wananchi wako kwa mtindo huu? Unajua suala la kuwa mbunge ni suala nyeti sana,inabidi tuwe makini sana na uchaguzi wa wabunge wetu.
Watu kama hawa hawafai kabisa katika taifa letu,tunahitaji wazalendo wa kweli wenye kujua nini wanafanya na sio...
Unajua wapendwa taifa hili linahitaji kiongozi shupavu na mwenye kuthubutu. Kwa hali tuliyonayo sasa ni rais waaina hiyo ndiye tunayemuhitaji sana.Mimi napenda kuainisha mambo ambo machache ya rais tunayemtaka.
1.Awe na upeo mkubwa wa kufikiri matatiozo ya nchi yetu na aweze kuthubutu kuchukua...
Na mimi hapa ninalo la kuchangia kidogo wapendwa. Ingawaje mimi ni mgeni wa hii familia naomba japo nitoe mawazo yangu niliyonayo.Ni kweli kabisa unachosema mkuu,hapa Tanzania tuna mambomengi sana ya kujifunza kuhusu kuiongoza hii nchi.
Kwanza kabisa tunahitaji kuwa na katiba bora yenye maana...
Kwa mtazamo wangu, unajua mtu waweza fanya mamo mengi sana kwenye jamii au taifa kwa ujumla. Hasa unapokuwa kiongozi mkuu wa nchi,ukiwa kama kiongozi wa nchi vitu kama lawama ni kitu cha kawaida kwa sababu unaongoza makundi mbalimbali ya watu.
Hivyo yawezekana Mwalimu JK alikuwa ana mapungufu...
Kwa maoni yangu kweli kazi tunayo kwa sababu PM wetu ameonyesha hawezi fanya kazi bila kushikiwa remote. Huwa analia kwa uchungu wa nchi yake lakini hawezi fanya maamuzi kwa kuwa ni mwoga sana wa kulaumiwa.
Unajua ukiwa kiongozi unatakiwa usiogope lawama bali usimamie haki na ukweli wa...
Wapendwa wananchi wenzangu wa nchi yetu ya Tanzania, napenda kuwaomba nami niwe mmoja wa familia hii nzuri na yenye busara tele. Naamini nitajifunza mengi sana kutoka kwenu. Naomba msaada wenu pale ninapokosea na mnirekebishe ili na mimi niweze kuelimika kupitia familia hii ya JF.
Mungu ibariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.