Kibubu kinawekwa be sehemu ambayo mtoto na house girl wanaweza kufika usalama wa fedha uko wapi? Kisa kukwepa Makati ya bank haya aende jera akaozee huko na huko lazima mabwana jera wamlee tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
HABARI ZA MASIKU WANDUGU ,NATUMAINI HAMJAMBO NA MNAENDELEA VYEMA NA MAJUKUMU YENU YA KILA ,BILA SHAKA NIMEPITIA COMMENTS ZENU NA KUFURAHISHWA NA JINSI MNAVYOJARIBU KUUTAFUTA UKWELI WA JAMBO, WACHACHE WANAAMINI NI STORI YA KUTUNGA ILA NIWADHIBITISHIE HII NI KWELI KABISA BILA KUTIA SHAKA ,WENGINE...
Ilikuwa hivi yani kutokana hukumu za kihuni ,yani Ilikuwa ukimtaja mtu ndani ya mtaa /Kijiji chenu Kama amewasaidia wahutu kutoroka au kujificha hata Kama mna visasi vya zamani ukaamua kumsingizia mtu tu awe Mtusi au Mhutu Ilikuwa gachacha Haina Tena mjadala ni hukumu tu ,Sasa watu wengi...
Soma vizuri kwanza stori ,mauaji haya yalifungwa kwenye box kwa siku 70 ,huku propoganda kali zikiendelea so viongozi wengi wa Rwanda walikuwa wana Kuja huku Tanzania kwenye mikitano ya upatanishi na waaasi watangaza Kuna amani tele ,kwanza Ilikuwa kutoka ndani ya Rwanda.
Ni ishu utapita...
RPF walivoingia wakaanza kuua nao wahutu lakini wakawa wamechelewa dunia ikawa imeshajua na kuanza kufuatilia kwa karibu , ikumbukwe hata hapa mkuu wa majeshi Kama sijakosea General Mboma alitishia kuingiza majeshi Rwanda kuzima hii kitu akawa anasubiri final say atoe oda tu .kwa hiyo watusi...
Badili mazingira ,Kama unaishi kimara hama kaishi gongo la mboto ,wakati ubongo wako upo kwenye msongo wa mawazo na hapo hapo utakuwa busy kuadopt mazingira mapya mwisho unakuwa normal kabisa baada ya kipindi kifupi ,try it bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Alihimizo maridhiano ya kweli kupitia nyimbo zake ,sio haya fake ya kusema watusi ndo walikufa tu akawauzi wenye nchi dawa yake ikawa jera kwanza halafu kifo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Maslahi ya wazungu yatakuwa wapi katika hilo? Kama hakuna maslahi yao itakuwa ndoto tu. Madini mengi yanayoibwa Congo yanapita njia ya ardhini ipo katika nchi mbili tu Rwanda na Burundi basiii .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhhhaahhaaahhhaaa.....toka niescape Rwanda sijawahi ogopa chochote duniani in short mimi ni kama nusu mfuu. Unaweza nitukana nikakasirika Sana lakini ukaniwekea bunduki kichwani nikacheka tu so najua kifo kuliko maelezo .
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.