Habarini ndugu zangu
Ninaamini muwazima na wenye siha njema.
Mungu awafanyie wepesi wenye magonjwa na hali zisizo nzuri haswa kipindi hiki ambacho serikali yetu inachukua tahadhari za msingi katika kupambana na virus vya covid 19
Tunaimani na kazi mnazozifanya haswa katika kuhakikisha...
Poleni na mfungo ndugu zangu waislam kaka zangu, dada zangu, na wengine wenye umri kama wangu yaani below 25 niulizeni ndugu yenu hapa kijana mwenzenu.
Niulize chochote kuhusu hii biashara nitakujibu.
Chochote kinachokutatiza nitakujibu.
Karibuni kwenye uwanja wa madini msiogope niulize...
Katika maisha yangu siwezi kusahau siku ambayo nilikua jkt 821 kj bulombora Egle coy mujibu wa sheria nikiwa katika harakati za hapa na pale za usumbufu wangu nakujikuta mjanja
Nilikua mzee wakudoji sana basi siku hio nikawa nimechaguliwa kwata kwa kua nimrefu hivi nikawa right maker chini ya...
Katika maisha yangu siwezi kusahau siku ambayo nilikua jkt 821 kj Bulombora Egle coy mujibu wa sheria nikiwa katika harakati za hapa na pale za usumbufu wangu nakujikuta mjanja.
Nilikua mzee wakudoji sana basi siku hio nikawa nimechaguliwa kwata kwa kua nimrefu hivi nikawa right maker chini ya...
Ujio wa Corona nadhani athari zake si zakawaida katika soko la bidhaa katika soko la dunia
Dhahabu imeporomoka bei na inaendelea kuporomoka kwa kasi kutoka 107000 kwa gram dhahabu yakukamatisha mpaka 85000 huku soko likiendelea kushuka ninauhakika hata thamani ya shilingi inaendelea...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naanza na huu ugonjwa corona kumbe niugonjwa uwapatao watu wenye vigugumizi na wanyemakunyazi kichwani kama mganga aliewatapeli familia ya mzee mwenzetu mmoja hivi humu mzee Carlos The Jackal
Pili
Ni ugonjwa wa matajiri tu wee kama masikini endelea kula...
1. Ni rahisi kuporomoka kiuchumi hasa ikitokea ka bibi mdogo ukakaleta karibu na biashara zako au kakawa kasimamizi ka baadhi ya Mali zako katakua bize kujifanyia malimbikizo ya fedha zako.
2. Kila mwanamke utakayekuwa nae kwenye mahusiano atataka kuchuma nakusepa zake huku akijua fika muda...
Sent using Jamii Forums mobile app[/UR
Taa hizi ni Mali ya wanakijiji waliokosa huduma ya umeme kwa miaka kadhaa sasa licha ya Muheshimiwa raisi kutekeleza sehemu kubwa ya ahadi ya umeme vijijini
Taa hizi hukusanywa kwa pamoja nakuchajiwa,
Jioni mwenyekiti huita watu wote nakuanza kugawa taaa...
Habarini Wakuu
Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo langu
Hatimaye msimu wa uuzaji na ununuzi mazao hasa ufuta maeneo ya Mbeya umeelekea tamati au kufikia kikomo. Kumekua na upotevu wa mapato kijanja kwa namna hii hapa chini.....
Mfanyabiashara hatoi hela halali ya ushuru na...
Samahani Kwa headline yenye kushutumu......!!!!!!
Kwa umakini na Kwa heshima ukifika sehemu nyeti kama bar muhudumu atakuona wathamani sana zaidi ya yule aliekua nae kabla yako
[emoji117][emoji117]siasa za kukurupuka nakushabikia kila anaekuja nakumuona bora zaidi wa yule alietangulia huu...
Kama ilivyo heshima ya mamlaka
Samaki akapewa jina na binaadamu akapewa nguvu ya Samaki ...!!!
Na wote wakarudishwa majini ilihali binaadamu huyu mwenye jina na uwezo wakimamlaka Kwa jina lake lakisamaki na lakuheshimiwa sana na wenye kumpa uwezo wakulitawala jina hilo
ndani ya himaya isiyokua...
Bandiko mahususi wakati wakununua na kuuza viwanja,
Wakuu kama umewahi kuuza ama kununua kiwanja kunahii tabia ya asilimia 20% anaramba Mwenyekiti na balozi wake ikiwa ni asilimia kumi Kwa mnunuzi na kumi Kwa muuzaji
Pesa hii serikali inafaidika vipi ,ukiuza kiwanja million 60 Mwenyekit...
Ongezeko la vijana wasio na vision kuhusu mambo yakufanya linanisukuma kuandika uzi huu!!!!!
Unatushauri nini,wakati kama huu ili tuendane na dunia yasasa,
Kundi kubwa lavijana wakike limefanya sehemu zao za uzazi kua sehemu ya kipato(kiwanda cha bure )
Pia kwavijana wakiume hali si nzuri...
Poleni Kwa mfungo ndugu zangu waislamu huku wakristo mkiendelea kula mema ya nchi mchana kweupe!!!!!!
Usiku wa Leo nimetoka kumfukuza classmate wangu wa kike akalale kibarazani kwakuwa mimi ndio nilikuwa mgeni wake hapa mjini kamaliza Chuo fulani kaja kufatilia masuala yake ya kielimu.
Mimi...
Wakubwa wote shikamooni ........!!!!Leo nimejifunza kitu kikubwa humu nimetambua kua kumbe tuna baba zetu humu,
Muda mwingine tunawatolea kauli chafu kabisa tunahisi tuko Na jamaa zetu wakaribu ,
Tunabishana Na ninyi Kwa kejeli nyingi tunajisahau kua wengine mlikuwepo kabla ya sisi kua mbegu...
...tukutane hapa ....!!
Mimi ninachokumbuka nilifanya ujinga flani nilimkosea mzigua nikapigwa ban moja makini sana ,
Sikuzijua vyema taratibu za humu na mchecheto wakipumbavu kidogo ko nikaangukia pua Kwa ban moja safi sana nikabaki nashangaa mbona siwezi kuaccess chochote jamii forum
Kumbe...
Ndoa ni ngome inayohitaji kulindwa Kwa nguvu maana ndiko chimbuko la familia zenye mafanikio makubwa hutokea,
Familia shupavu hujengwa Kwa ndoa shupavu lakini si Kwa kujiona wathamani zaidi ya wengine anguko na inuko lako liko mikononi mwako mwenyewe
(1) usiri
;hii ni moja yasababu kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.