Duh! nimekubali watanzania tumeamuka, majority wanampa ukweli Zombe, sasa kitu ambacho sijui ni Je! hakuna kampuni ya wanasheria inayoweza kusimamia kauli ya Zombe na kumshitaki ili arudi gerezani akapumziishe upuuzi wake; na aache kuwasumbua wapigania haki wa CDM na Tanzania nzima? Jitokezeni...
Hayo ndo yametukuta wakazi wa jiji la Mwanza. Kwa wale walologwa wanailalamikia CDM, lakini sijasikia kiongozi wa CDm akiwambia wamachinga kuanzisha fujo. Tambueni kuwa kwenye njaa na dhiki huwa hakuna upambe, ni namna mtu anavyoguswa na haki zake ndo anaanza kuzidai.
Pili wengi walokuwa...
Tueleze uzoefu wako ukoje. We uliwahi kucheat online hadi kufika hatua ya kuvunja amri ya sita au unasikia ya watu. Kwa upande wangu sijawahi na sitegemei kwa sababu sometimes huwa nahisi kuwa huenda ninaochati nao si watu - ni majini.
MR 2 kasema nini Bungeni hadi unakuja kuwakia kwenye mambo ya siasa na kuingiza hoja za wasanii?? Weka mambo wazi sio kufumbafumba wakati unajua wasomaji ni wengi. wengine hatujasikia kipi kaongea Mhe. Mr. 2 Mbunge wa Mbeya mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.