Nimefuatilia kwa makini mijadala kuhusu adhabu ya Wasafi kutoka TCRA. Ukweli utabaki pale pale. Wasafi hamtakiwi kuwa juu ya sheria za nchi. Kama vituo vingine vinafungiwa, nyinyi ni nani msipapaswe mnapokosea? Sheria huwa haitazami una connection na nani ila rungu likishuka linashuka zima zima...
Kwa nini Viongozi wa Riadha Tanzania wamejikita kwenye ubadhilifu wa fedha zaidi kuliko riadha?
Shirikisho la Riadha Tanzania linapika katika kipindi kigumu sana. Tangu kuchaguliwa viongozi walioko madarakani sasa, mchezo wa Riadha umekuwa ni wa kushiriki na kushindwa. Nchi za wenzetu tunaona...
TAFAKURI: Kwa nini Viongozi wa Chadema wanakwenda Marekani na Ubelgiji?
Na Nelson Masaduki
-------------------------
Kwanza, nianze kwa kuwapongeza Jamiiforums kwa kazi kubwa mnayofanya ya kutupasha habari na kuwasaidia wenye matatizo mbalimbali kupitia Forum hii. Ninajua si kazi rahisi kusoma...
Kwanza, nianze kwa kuwapongeza Jamiiforums kwa kazi kubwa mnayofanya ya kutupasha habari na kuwasaidia wenye matatizo mbalimbali kupitia Forum hii. Ninajua si kazi rahisi kusoma kila mtu anachoandika ila kiukweli ninafuatilia kwa karibu sana mambo humu ndani.
Leo nimekuja na swali au tafakuri...
Nilikuwa hapa Singida nikielekea Mwanza. Niliamua kusimama kwa muda mchache kufuatilia hotuba ya Rais Magufuli baada ya kumuapisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Katika maneno mengi aliyozungumza, nimebeba yafuatayo:
1. Huu sio wakati wa kula raha.
2. Huu ni wakati wa kazi.
3.Huu ni wakati wa...
President John Magufuli on Thursday rejected calls from some of his supporters to extend his rule beyond the constitutional limit of two, five-year terms, bucking a trend. There have been some calls from members of the Parliament including the Speaker of the National Assembly Job Ndugai who have...
Jamii Forums,
Nimefuatilia kwa muda mrefu namna mnavyohabarisha umma habari kuhusu Virus vya Corona. Niseme tu, hongereni kwa kazi nzuri.
Nelson,
Dar es Salaam.
KUTOKA BUNGENI:
MADHEHEBU YA DINI HAYATAFUTWA KWA MABADILIKO YA SHERIA
Katika uchangiaji wa hoja Bungeni, Wabunge wamebainisha wazi kuwa Mawazo ya Kamati zilizoshughulikia mabadiliko ya Sheria ya Asasi za Kiraia ni ya msingi kwa kuwa, Makanisa na Asasi za Kiraia yanahitaji kuangaliwa kwa...
Was-salaam!
Gazeti la THE NEW TIMES limechapisha taarifa ya kumpongeza Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli. Katika toleo lao la tarehe 26/06/2019, Wahariri walikuwa wanachambua suala la uwezezaji ambao huhatarisha maslahi ya nchi ambazo zinategemea misaada kutoka katika mataifa makubwa...
Wakati Serikali ikijiandaa na ukusanyaji wa Maoni ya Wadau katika mabadiliko ya Sheria (The Non-Governmental Organization Act), baadhi ya Wabunge wameshindwa kujificha kimaadili na kukubali kupokea fedha maeneo ya Morena Hotel -Dodoma ili wapaze sauti zao.
Wabunge wengi inasemekana wana...
Statement of the Chairperson of the AU Commission on the Situation in Sudan
April 11, 2019
Addis Ababa, 11 April 2019: The Chairperson of the African Union Commission, Moussa Faki Mahamat, is closely monitoring the ongoing developments in Sudan, in particular the announcement of the First Vice...
Naendelea kuyatafakari mapinduzi ya Sudan na Zimbabwe. Nawaza na kuwaona viongozi wenye kutaka wakae madarakani na kuwatesa wenzao. Nawaza baada ya Sudan wapi kutaendelea.
Watu wajipange siku zaja.
"Hata sisi tunapokopa hapa, malipo yake hatutayamaliza kwenye Awamu ya 5. Inawezekana kwenye awamu ya 6, au ya 7 au hata awamu ya 10 ndio watakuja kuyamaliza haya madeni. Lakini sisi tutakuwa na barabara na barabara itakuwa imeshajenga uchumi wa wananchi wetu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.