Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha ni pale mwenyekiti wa tume ndogo ya LAAC iliyokwenda kuchunguza mgogoro wa halmashauri ya wilaya ya kondoa bwana Joseph Selasini mbunge wa Rombo(CDM) alipoamua kumficha Afisa wa Tamisemi ambaye ndiye aliyebariki wizi wa Tsh 72m huku akishirikiana na DT...
Kaka MMASAI huyo DALDO wa Ngorongoro kumbe nawe unamjua. Katika wakuu wa idara vibuyu huyo nafikiri anaongoza. watumishi wake wanamwekea mitego wanamwandikia ripoti mbaya naye kwa ujinga wake anasoma kwa watu bila kupitia. Huyo mama ni kibuyu haswa anashindwa kazi hata na watumishi walioko chini...
Mhe Hawa Ghasia kama unasoma huu ujumbe katika mtandao huu au kama kuna subordinate wake aniPM ili nimwambie manyanyaso wanayopata watumishi katika Halmashauri nayofanyia kazi.
Wana JF wenzangu mimi naamin JF ndio kimbilio pekee la watz wanyonge katika kuelezea Shida na Matatizo yao wanazopata...
eedoh
Inawezekana ni kweli unayosema lkn hayo ni upande wa siasa hayatakiwi kufungamana na utendaji kazi. Hebu jaribu kufanya mazungumzo na watumishi wa Halmashauri zilizo karibu nawe ili mradi tu wasiwe wakuu wa idara watakuambia kero wanazopata. Huku kwetu mtumishi wa kawaida kupata activity...
Napenda kutoa kilio changu kwa waziri wa Ofisi ya Rais, Menejiment ya utumishi wa Uma, juu ya mambo wanayotendewa watumishi walioko katika Halmashauri za wilaya. Huwa sipendi kuropoka na nalisema hili kwa ushahidi kwa kuwa sasa nina experience zaidi ya 10yrs nikiwa mtumishi katika Halmashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.