Namuamini rais wangu hasemi uongo, waongo ni chadema tu madeni tayari yameanza kuhakikiwa serikali ya magufuri inahela tulieni achape kazi hadi chadema wasambaane. ccm oyeeeee!
Washushe tu maana matumizi ya simu yanatakiwa kuwa ya kila mtanzania kumudu ili kuboresha mawasiliano ya kibiashara kufikia hatua ya Nchi ya viwanda kwa haraka na kwa watu wa tabaka lote katika Taifa
Dua la Kuku halimpati mwewe! Mlizoea kuua watu kwa kutumia ukamanda feki wenu mnadhani wote ni wauaji? Ben saa tisa aliuawa na mbowe lawama mnamwangushia Mhe rais , chacha wangwe mbowa alimuua masikini ya Mungu lkn sisikii sauti za kumlilia, hata tundu lasu amepigwa na mbowa lawama Kwa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.