Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300?
Naomba msaada ni jinsi gani naweza kuziona hizo specification.
Habari za mida,
Naomba kusaidiwa router gani ni nzuri kwa matumizi ya taasisi ambayo inakuwa na watumiaji 500 kwa mara Moja wakiwa connected kwa wired na wireless?
Na kipi natakiwa kukiangalia kwenye hiyo router ili kujua idadi ya users inayoweza kuchukua?
NB: Sina utaalamu sana na router...
Habari
Naomba kujua ni vigezo gani nivitumie kupata sample size of my study?
Mfano: Nahitaji kujua idadi ya wamama wanaotumia uzazi wa mpango kwa jiji la Dar Es Salaam au Nataka kujua uelewa wa wananchi wa Mbeya kuhusu matumizi sahihi ya dawa za Malaria au Natakujua matatizo gani hupelekea...
Naomba kujua maana halisi ya hili neno "be" kwa maana nashindwa kujua naambiwa kwa wakati huu verb be itakua was au itakua will au itakua have sasa nashindwa kulekewa hasa ni kitu gani hiki be
Naomba ushauri kati ya kununua soundbar au hometheater ipi itakua ni nzuri zaidi kwa matumizi yangu? Maana nahitaji moja wapi kati ya hizi na sijui utofauti wake! Na no vitu gani vya kuzingatia wakati wa kununua.
Ni maduka gani kwa Dar naweza pata kwa bei nzuri?
Hallo,
Najaribu ku update taarifa kwenye database inanikatalia kila nikijaribu code zinagoma sijajua wapi nimekosea wana IT.
Ila nimejaribu kuingiza I'd manual inakubali ku update hiyo I'd niliyoingiza sasa sijui nini shida.
Msaada nawezaje kununua gari online kutoka Japan ikanifikia Tanzania? Je, ni njia salama? Naweza kufanikiwa? Kwa maana naona gari mtandaoni ni gharama ndogo sana ukilinganisha na zinavyouzwa kwenye showroom zetu hapa bongo!
Napenda kujua vizuri utofauti wa haya magari new model iko vipi? Na old model iko vipi
1.kimuonekano
2.ukubwa wa engine
3.mwaka wa kutengenezwa
4.wastani wa bei kwa hapa Tanzania
Napenda kujua ili nifanye uchaguzi sahihi , nahitaji kuinunua mwezi ujao na sina uzoefu nazo sana
Hallo naomba mtu anisaidie hivi vitu
1.Object
2.Method
3.Events
4.properties
5.class
Vinatumika vipi kwenye VB maana najifunza mwenyewe bado sijaelewa kabisa
Mfano unakuta
Form1.Inverted = True
warningLabel.Text = "Data not saved"
Form.label="next"
Habarini!
Napenda kujifunza Visual Basic Programming hasa kwenye Excel VB. Naombeni kama kuna mtu anaijua vizuri anisaidie hata kwa kuchangia kidogo. Akanifundisha through zoom au WhatsApp.
Nipo serious
Nimepata confusion kabisa kuhusu aina za database.
Kuna mwalimu alinifundisha two types of database: Flat file database and Relational database tu.
Sasa leo nimekutana na notes zina aina sita za database, sasa sijaelewa which is correct, msaada hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kueleweshwa vizuri wataalamu maana naona nimekariri ila sijaelewa vizuri kabisa hivi vitu
1.inner join
2.left join
3.right join
4.full join
Maana vinaniuniza kichwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.