Mimi naona TZ tulipofikia inabidi udicteta ili tuendelee mbele kwanza hiyo demokrasia imeletwa na wazungu ili waweze kutunyonya vizuri na kutufanya tuendelee na umasikini namsupport rais wangu anafanya kazi nzuri sana sana
Mie naona kitu hatari cha exposed mtu salooni kwa ukimwi ni during scrubbing mtu anatumia mikono yake kwa kuscrub mtu mwingine bila kuvaa gloves aisee hatari
Hakuna kero hapo wamefanya kazi nzuri sana kuangalia usalama wetu ajali barabaran hasa mwezi uliopita wa sikukuu zimepungua sana hii ni kuonyesha ufanisi wao mie nilisafiri kwenda mkoa na kuridi nilikamatwa zaid ya mara 5 walifanya ukaguzi na hawakunikuta na kosa nawapongeza sana kwa kazi nzuri
Mkuu uwe unafikiria kwanza kabla ya kukurupuka kuandika unamaana gani unaposema ukimya wa CCM unajua mwenyekiti wa CCM ni nani sasa CCM aongee nani zaidi ya mwenyekiti acha kujichanganya,barakan za CCM azitoe nani zaidi ya mwenyekiti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.