Wadau ukifika Dodoma Kabla hujaingia mjini kuna ghorofa la Kilimo kwanza huwa wanauza matrekta, naombeni kujuzwa kuhusu hii fence mmiliki wake ni nani maana ipo ndani ya hifadhi ya barabara. Bikoni zote mbili zinaonyesha jamaa wamevamia barabara.
Awali hii fence ilikuwa ya tofari na iliwekewa...
wanajamvi, imekuwa kasumba kwa kila mtu au jamii fulani kushabikia mtu au jamii tofauti na upande aliopo. ni nadra sana kwa upinzani kushabikia chama tawala. Lakini tujiulize upinzani ni nini?
hili linakamilishwa na usemi unaosema kuwa "by nature, every human being is selfish" na pia mwamba...
Wanajamvi,
Imekuwa kasumba kwa kila mtu au jamii fulani kushabikia mtu au jamii tofauti na upande aliopo. ni nadra sana kwa upinzani kushabikia chama tawala. Lakini tujiulize upinzani ni nini? Hili linakamilishwa na usemi unaosema kuwa "by nature, every human being is selfish" na pia mwamba...
msaada bei ya pete yenye madini ya Tanzanite, mwenye utaalamu wa hizo pete, nahitaji kumnunulia bi harusi wangu mtarajiwa.
Nahitaji mawazo please. Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.