Nimewafanyia wanafunzi wengi application wengine wamepata batch 1 na wengine hawakupata ila account zao zimebadilika leo, pia kuna wengine account zao zimekataa kuwa hawaku submit application.
Uzi umeharibiwa vibaya sana pengine Kuna ukweli ilikuwa unafichuliwa na mzee wa kingilinge, Bibi akaja kuchafua hali ya hewa kwakuwa ana maslai yake ya moja kwa moja.
Video ya kikora, pia wimbo(audio) hauna content yoyote ya dini ya kikiristo kwa nini ukashoot kanisani tena walivyo kuwa wanaimba kwa kejeli kwenye hiyo scene ni uchokozi tu kwa wakirsto.
Kumbe kuna watu wameshajaza na kutuma form no.1 kabla ya Tangazo halijatoka rasmin yaani week moja nyuma kabla serikali haijatangaza ajira.
Hii nchi kwa upigaji ni namba moja, siyo serikali siyo raia.
Nimependa ulivyo itambua Tanzania mainland kama Tanganyika kunahoja ndani ya uzi imefichwa pengine ni kwa uoga au unatuchora wadanganyika na hapo ndipo tunaona KATIBA mpya inahitajika kwa upana mkubwa mbali na siasa za majitaka za upinzani uchwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.