Nina stashahada ya ufugaji viumbe maji (diploma in Aquaculture), nipo Dar es salaam nimesoma kozi ambayo inahusiana na ufugaji wa viumbe maji wakiwemo samaki wa maji chumvi na maji baridi, ni moja ya kozi inayotoa fursa ya kujiajiri kupitia kufuga samaki kwenye mabwawa(fish pond), vizimba(fish...
Ulichozungumzia icho kinatokea kwenye RAS ambapo maji yanayotumika kufuga samaki yanakuwa yanazunguka hayohayo muda wote kwaio inashauriwa kuwa na Biofilter ambao watajiatach somewhere ili waweze kukonsume Ammonia pia kwenye RAS inashauriwa kuwa na Fish tank fulfilled with water, plant tank...
Cha muhimu sana hapo ni admission letter kutoka chuo husika maana huo ni utambulisho wako unaonesha ulichaguliwa kozi ipi kulingana na qualification yako pia joining instructions inatoa maelezo ya vitu vya kuzingatia wakati unataka kujiunga na chuo na kuanza chuo nini ulipe na nini cha...
Nafikiri cha muhimu ni Admission letter na joining instructions kwa sababu ukifika chuo utapewa hiyo Registration nambaako kulingana na course uliyochaguliwa na wao watakavofanya students registration kwa wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza waliofika chuo kwa kozi husika.mfano mimi mwaka jana...
Tilapia culture is practised in tropical and subtropical regions of world and has been growing at an outstanding rate during the past two decades. The worldwide production of tilapia in recent years has increased significantly and this increase has been influenced by the fast expansion of the...
Hakika inapendeza kwa mtu anayependa kujifunza mafunzo ya ufugaji samaki kupitia vitabu nadhani kupitia umo anaweza kupata knowledge kuhusu fish farming in general! Nakutakia kila la kheri mkuu katika uuzaji wako na usambazaji wako wa vitabu ili walengwa waweze kufikiwa kwa haraka
Unawezaje kufuga samaki bila kuwa na experience ? nikimaanisha unaweza ukasoma kitabu lakin kwenye practical ikawa viceversa pia katika ufugaji samaki inategemea na eneo husika je wewe unawezaje kuoanisha maeneo tofauti ? Pia kuna aina nyingi za samaki je wewe umezungumzia aina ngapi za samaki...
Inabidi utoe copy cheti cha BC then nenda RITA ukahakiki cheti chako ni sh 3000 baada ya kulipa benki watakupigia muhuri kwenye cheti chako cha BC baada ya hapo nenda mahakamani wakaweke muhuri wao ili kuonesha taarifa ulizotoa ni sahihi na hatua za kisheria zinaweza kuchukuliwa dhidi yako...
Kambale ni bottom feeder tofauti na sato wao ni surface feeder, kwaio ukiwa unalisha hakikisha unatumia chakula ambacho kitazama chini ili kambale waweze hula mfano ukiwa unawalisha walishe pellets ziwe na uwezo wa kuzama chini na sio chakula cha powder form ambacho kinaelea juu, pia unaweza...
Unachosema mi nakuunga mkono kwa sababu asilimia nyingi wanaojiita wa dar hawajazaliwa dar ila pilika za kimaisha zimewapeleka dar,je aliyezaliwa dar na kufanya kazi nje ya dar na mwingine aliyezaliwa nje ya dar ila anafanya kazi dar nani mwanaume wa dar pia nan mshamba kama mnavyofikiri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.