Wapendwa salaam alyk, tumsifu Yesu Kristo wana JF,
Kuanzia jana siko vizuri nimehangaika nimekosa nimetafuta bado sijapata wapendwa ninashida ya kusaidiwa hela ya unga tuu.
Please nisaidieni wana JF mwenzenu nakufa njaa.
kwa sasa Tanzania ukitaka kuwa Mbunge,DC au Rc sharti ujue kusoma na kuandika .......
lakini msichana akitaka kuolewa shart awe na cheti cha form four....nahisi tunaishiwa pumzi.[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.