Kuna shida moja tu itakuwa imemfanya jamaa akuache. Baada ya sex ukaanza kujaa upepo unazungumzia ndoa tu, ukaanza kumuongelesha mambo ya ndoa. Kwa mwanaume hiyo ni kama anataka kuuziwa kitu kibovu kwenye box.
Nikushauri kitu acha kulalamika na kuanza kutuma meseji za lawama kwamba amekukula...
Kuna e-commerce kama KibubuApp ya Tanzania, Alibaba ya China n.k, je wanakusanya fedha kwa watu kwa ajili ya faida kama nyie?
Kwa muundo wa kwenu wa kukusanya fedha na kutoa faida mnapaswa kuwa mmesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mitaji na Masoko (CMSA), Je mmesajiliwa na mamlaka hii?
Maeneo nyeti yapi, vituo vya polisi au?
Kuna unyeti gani wakati hapa nilipo naweza kuangalia hadi ikulu kwa msaada wa teknolojia?
Hakuna maeneo nyeti. Haya ni maeneo ya umma na tunapaswa kuchukua video mambo yakiwa hovyo
Mheshimiwa Rais Hussein Mwinyi, nakuandikia hapa kwa sababu nahisi ndio sehemu pekee ujumbe unaweza kukufikia.
Sisi wafanyabiashara mara nyingi huwa tunakopa fedha benki ili kuendesha biashara zetu, na sisi kama wengine tumekuwa tunakopa mara nyingi na kufanya valuation ya mali zetu kama...
Najitahidi kwanza nimewafanya wapende vitu vinavyohusiana navyo. Sasa wanapambana kuchora katuni zao ili wazzingize kwenye computer. Mie nimewaambia wakitaka kutengeneza katuni zao basi waanze kwa kuzichora. Lakini mimi nina project za IT ingawa sijasomea ila nafanya kama biashara. Wataendelea...
Unazungumzia tumbo lako na sio Mama Samia kuwa kiongozi.
Hata wakati wa Jiwe mlisema hakuna mtu Tz anafaa ila mmeishasahau.
Sema wazi kwamba hapo unamaanisha matumbo yenu.
Aisee watoto wangu wakiwa hivyo basi nawaendeleza zaidi ya hapo.
Nitawafundisha zaidi elimu ya fedha na namna ya kujitanua zaidi.
Hii akili sio za kitoto,hawa wana jambo lao. Ukiwazimisha unawezakujikuta umemzima Bilionea ajaye. Tuachane na hizi akili, tuwaendeleze watoto kwenye wakicho bora...
Mie watoto wangu mkubwa ana miaka 9 ila ameanza kujifunza kuwa mtaalam wa computer nataka awe programmer wa Software au Software Developer kwa mkubwa, mdogo atasomea IT/cyber security na Binti atasomea sheria,nikipata wa 4 basi huyu atakuwa mtu Data Science au kozi ambayo ni utundu wa computer...
Kama hivi unavyoandika umemaliza Degree Mlimani basi ni halali chuo hicho kishuke hadhi yake kimataifa kwenye taaluma. Yaani wewe ulimaliza vipi hapo aisee?
Huu uandishi ni wa mtoto mdogo ambaye hajamaliza vidudu.
Sasa hapo tukusaidie jinsi ya kumchamba shemeji yako au tukusaidie namna ya...
Nadhani sisi waafrika tujifunze jambo. Tuandae mfumo wa kuendeleza biashara hata baada ya waanzilishi kufariki. Kwanini makampuni ya wazungu, waarabu, wahindi yanasonga mbele baada ya mmiliki kufa lakini kwetu imekuwa mtihani?
Yaani mmiliki akufariki ni ugomvi mwanzo mwisho wakigombea kugawana...
Kwahiyo ipo siku haya maneno atawaambia Yanga siku akiondoka?
Eti Kaifanya Simba ipate mashabiki hahahaha....
Amekosa kiki sasa a atafuta pakuongelea. Simba hawana muda na maneno yake. Huyu mtu ni mpuuzi. Kwahiyo anaitishia Simba?
Jmosi hii nilikula ugali nyama choma na kichuri hapa Banana dsm. Maeneo ya Gmboto, kitunda na ukanda huo kwa dsm ugali nyama choma na kichuri ni mapema asbh kabisa. Sababu wakurya wengi wanaishi maeneo hayo
1. Jibu la swali la kwanza.
Virusi vya Corona na jamii yake sio vipya duniani. Vimewahi kutokea na kusababisha madhara kwa binadamu, wanyama na ndege. Historia inaanzia miaka ya 1920. Baada ya hapa wanasayansi waliamua kufanya Tafiti za virusi wa aina hii(RNA viruses) ili kujua tabia zake na...
VITA YA JIRANI NA UTALII TANZANIA
Lazima tuingie gharama ili kuitangaza Tanzania na kuwavutia watalii Tanzania. Pamoja nan chi yetu kuwa na vivutio vingi vya utalii, yani vingi sana na nikivitaja hapa nitaishia kuvitaja tu hadi kuchoka kuandika, lakini ukweli ni kwamba tuna idadi ndogo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.