Nawasalimu nyote wana Jf.
Niende moja kwa moja kwenye maada, Ilikuwa mwaka furani nilipata demu mtaani kwetu aliyekuja kuishi kwa shangazi yake akitokea mkoa fulani hivi, Nilipomtongoza alinisumbua kama wiki mbili hivi kukubali,mwishowe akakubari
Mahusiano yetu yalidumu kwa mda wa miezi 8...
Habari ya majukumu Jf,
Hivi mwanamke anaweza kupata hedhi akiwa katika ujauzito hasa katika miezi ya mwanzo ya ujauzito,
๐ฃ๐๐ค๐ข๐๐ ๐ ๐ช๐ฌ๐๐จ๐๐ก๐๐จ๐๐, ๐ฃ๐๐ฉ๐๐๐๐ข๐๐ ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ฉ๐ ๐ช๐๐๐๐๐ฃ๐ช๐ฏ๐ ๐ช๐ฉ๐๐ ๐๐ค ๐ฃ๐๐๐๐ฃ๐๐ ๐๐ช๐ช ๐ฎ๐ ๐๐ช๐ฎ๐ช ๐ข๐ฌ๐๐ฃ๐ฏ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐๐ช.
Habari ya majukumu wana jamii forums wote, heshima kwenu nyoote mnaoendelea kupapamba kwa ajiri ya maendeleo ya maisha yetu,
๐๐๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข๐ฅ๐จ ๐ง๐ข๐ฅ๐๐ญ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฎ ๐ฐ๐๐ง๐๐ฃ๐๐ฆ๐ฏ๐ข ๐ง๐๐จ๐ฆ๐๐ ๐ฎ๐๐๐๐๐ง๐ฎ๐ณi ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐๐ง๐๐ฒ๐๐๐๐ก๐๐ฆ๐ฎ ๐ก๐ข๐ข ๐ค๐ข๐ญ๐ฎ ๐ข๐ง๐๐ข๐ญ๐ฐ๐ ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐.
๐๐ข๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ค๐๐ฌ๐ก๐จ ๐ญ๐๐ซ๐๐ก๐ 10/02/2022, ๐ง๐ข๐ง๐...
Habari wana jamvi,
Naombeni kuuliza au kupata ufafanuzi kwa wanaofahamu haya mambo au waliopitia hizi heka heka za serikali na mifumo ya sheria zetu za Tanzania.
Hivi inakuwa mtu unakiwanja na ulisha kilipia, kimepimwa vizuri na kina hati ya umiliki, ila unapotaka kujenga serikali inakuja...
Habari ya majukumu wanajamvi,
Naombeni kuuliza kwa wanaolifahamu hili kama kichwa cha uzi huu kinavyo sema, ni kweli kwamba minyoo ya amoeba inapunguza uwezo wa uume kusimama wakati wa sex.
Jambo hili nimeliona katika platform mbali mbali na coment mbalimbali humu hum Jfm, nilihitaji...
Habari wana jamvi, mimi ni fundi wa skimingi na upakaji wa rangi nzuri, nina uzoefu wa miaka 4,
Kwa mwenye kuhitaji nimfanyie kazi, mwenye kuhitaji ushauri juu ya rangi nzuri pia ata kama ni fundi wa kazi kama yangu ili tubadirishane uzoefu nawakaribisha sana.
Napatikana Kigoma, ila nafanya...
Habari waungwana wa JF.
Nimekuwa mdau sana wa kucheki movie kwa mda mlefu tangu vidudu naweza sema hichi ndicho kilevi changu pendwa hasaaa.
Kuna movie moja yakizungu sikubahatika kuijua jina na niliiona vipande tu na nimekuwa naitafuta kwa mda mrefu bira mafanikio ngoja niielezee labda huenda...
Habari wanajamvi.
Kijana mwenze ninawaombeni kwa mwenye uhitaji wa fundi Skiming na Upakaji Rangi na upakaji wa material mbali mbali ya urembo kama vile, stone, Decoo, con mixer, pamba/ aspendos, metalical n.k.
Napatikana Kigoma ila mkoa wowote wa Tanzania ninafanya kazi.
Karibuni nikufanyie...
Habari wana JF.
Nahitaji mke wa kuoa kama itawezekana ndani ya mwaka huu.
Sifa zangu.
Umri, 27
Dini, mkristo
Kazi, fundi Umeme
Sifa za mke nimtakaye.
Awe mrefu kiasi
Umri. 20- 25
Dini. Yoyote
Elimu. Yoyote.
Habari ya siku wanajamii, naomba kuwauliza mafundi wa humu JamiiForums. Ngoja niende kwenye lengo la uzi kabisa.
Mimi nina Tv aina ya LED [HDMI] nch 19. Sasa nina mda kitambo sipo home nilimuachia Getto Dogo, na niliacha Tv inafanya kazi kila sehemu,
Sasa nimerudi nakuta sehemu pa...
Habari ya majukumu wanafamilia wa JF, natumai nyote mpo wazima wa afya na poleni kwa walio wangonjwa.
Nimekuja kuomba msaada wa mawazo ya kibiashara kwa mkoa au jiji lililo changamka katika Sekta ya Biashara.
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa naishi Kigoma mpaka hapa nahisi napoteza welekeo...
Natafuta msichana wa kuoa na kuanzisha familia naye
umri wangu miaka29
Dini ni mkristo
Kazi nimejiajiri
sifa za msichaa nimtakaye
umri kuanzia 19-26
dini lolote, awe na hofu ya mungu tu
Nitashukuru kama atapatikana,
karibu pm kwa maongezi zaidi,
Habari wa jamvi, nahitaji msaa wenu hata ushauri tu unatosha,
Nina sabufa aina ya Sunder ilikata sauti gafra baada ya dogo kufungulia volume kubwa, sasa ikawa haitoi sauti kuanzia kwenye besi na twita zake, ila kwa upande wa twita moja ukiweka sikioni unasikia kwa mbali kama umeplay music...
Wanajamvi habari, naombeni usaidizi namna ya kutumia App ya Mixing Station X3/M2 kwa yeyote anayeifahamu,Nimejaribu kuifungua ila sijui nianzie wapi maana inavitu vingi.pleas help me
Pc, ilikuwa ni nzima kabisa ila baada ya mda nilipo iwasha ikawa imeleta maelezo haya,
Boot device not found
please install an operating system on your hard disk
Hard Disk (3F0)
F2 system Diagnostics
For more information,please visti ww.hp.com/go/techcenter/startup
Wadau hivi inawezekana kupata App ambayo ukiinstall kwenye frashi au external memory ukichomeka frash kwenye computer inacopy kila kilichomo automatic, kama ipo ya kununua au inayopatikana playstore naombeni link
Habari wana Jf. Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye lengo, mimi tangu mwaka jana niliajiriwa kwenye kampuni ya mtu binafisi,
Kipindi ninaajiriwa msimamizi mkuu walikuwa ni wahindi baada ya kama miezi 4 wale wahindi wakaondoka kwao wakafanya kumkabidhi MTANZANIA ili aimiliki hiyo...
Wanajamvi habarini wote.
Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu mungu.
Kwa sababu ninaposoma katika kitabu cha mwanzo naona alimuumba adamu harafu akamkabidhi bustani...
Wanajamvi habari.
Natumai mpo salama; niende kwenye lengo kamili.
Me nilikuwa naomba mtu yeyote mwenye ujuzi wa kuunganisha computer moja na nyingine kwa kutumia Network kupitia kifaa kinacho ita D.Link anisaidie hata kaaidia kidogo.
Yaani ninamaana kuwa kuunganisha computer moja na nyingine kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.