Me naomba niulize tu kwa waliowahi kutoa bikra, hivi ushawahi kula demu ambaye pengineanajinasibu kuwa yeye ni bikra , ila damu hazikutoka unaposex naye kwa mara ya kwanza lakini uchi ukawa umebana,
Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu,
Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
Sina maana kuwa nimedharau fani yake ila dharau zilianza kwa walezi wake kudharau kiasi cha pesa nilicho nacho, utamaduni wengi wa wakristo hupanga mahari kubwa kutokana na kiwango cha elimu walicho msomesha binti yao,
Hufanya hivyo wakidhani wanaenda kukufaidisha.
mkuu nikili kwamba ulicho ongea ni ukweli mtupu, mwaka 2017 nilitaka kuoa na nilikuwa na mahusiano na binti fulani hivi ambaye alitoka kijijini alipo fija mjini nikambrashi na mitoko,pamba hata pesa, maana nilikuwa na kijiajira, baada ya kwenda kuuliza mahari kwa tetesi tu bila ya mshenga...
Hizo ni dariri za mshipa, belive me, ukitaka kuthibitisha katika hili fanya hivi, kula vitu vye sukari kwa wingi utaona namna vishipa ya uume inavyo vuta au kuuma kuanzia kwenye korodani mpaka kwenye tumbo .
yaani tumbo linalopokea chakula,
Nimekupigia kula kabisa, hii imenitoke mimi hapa ninayecomment kwenye uzi wako, baada ya kuona hivyo ile hera nilienda kununua kiwanja na sasa najiandaa kujenga kama nipatapa pesa za kujenga, na sito kuja nitoe posa kabla sijaishi na binti kwenye ndoa, na nimepanga kutorosha,
ilimradi nina...
Nikwambie kitu vijana wengi wa siku hizi wamekuwa wabinafsi sana, hawa mchango wowote katika Taifa na jamii kwa ujumla,
Utakuta mtu anaujuzi fulani au ameuwezo fulani ni bora ajifungie ndani kuliko kuwaelekeza wengine,
Mataifa yaliyo endelea huwa wanashikana mkono na kuinuana na ndio maana...
Daaah, baadhi ya wanawake wamelaanika hata hawaoni kuwa ni kosa kubwa kumbambikizia mtu mimba isiyo yake au mtoto asiwo wake,
Kila nikikumbuka, basi imani na wanawake inaisha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.