waungwana habari zenu.
natarajia kusafiri hivi karibuni kutoka Dar es salaam kwenda rukwa/sumbawanga na ni mara yangu ya kwanza kwenda huko.
Msaada ninaotaka kwenu ni kujua, ni basi gani zuri linalokwenda huko?
(nikisema zuri namaanisha sio bovu na lenye mwendo ambao hautatuweka mda mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.