Habari wakuu...
Niende moja kwa moja kwenye mada ni wakati gani utajua biashara unayofanya imekufa au imefilisika...nimejiuliza hili swali kwa nyakati tofauti na nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja ingawa nimepata mawazo yafuatayo
1)Pindi unapotoa pesa yako katika vyanzo vingine vya mapato...
Huyu ni jamaa yangu ambae tumefahamina yapata miaka mitatu sasa kupitia masuala ya kazi, kwenye suala la maisha naweza sema sio mabaya sana kwani ukiwa na nyumba na usafiri kibongo bongo ukipata hivyo vitu angalau shida ndogo ndogo zinakua hazipo.
Ipo hivi mwamba ana mke na watoto wawili...
Habari za weekend wakuu,
Nielekee kwenye mada moja kwa moja, leo nikiwa katika usafiri wa umma maarufu kama daladala inayofanya safari zake Chanika to Machinga Complex nilishuhudia tukio ambalo gari aina Harrier ikiwa barabarani katika eneo ambalo barabara ni mbovu, hivyo alilazimika kusubiri...
Habari wakuu,
Nijielekeze ktk hiki kisa moja kwa moja maana mambo ni mengi halafu muda ni mchache
Baba baada ya kufiwa na mkewe alikaa alone kwa muda wa miaka miwili hapo tayari alikuwa na watoto watatu na mimi nikiwemo. Baada ya kipindi hicho cha miaka miwili akampata mama mwingine kipindi...
Naam wakuu habari za weekend,
Ktk maisha hususani haya ya kibongo ukiamua kutumia pesa km kipimio cha kumpimia mtu,hasa ukitaka kujua yupi ni mwaminifu na yupi si mwaminifu haki ya nani kwenye watu mia unaweza ukampata mmoja ama usimpate kabisa.
Habari ipo hivi ktk eneo nililopo nafanya...
Habari za weekend wakuu,
Najielekeza ktk mada moja kwa moja je,ni sahihi na inafaa kwa mzazi ama mlezi kumfundisha mwanao juu ya taaluma uliyonayo ama biashara.
Mfano mzazi/mlezi uwe unajishughulisha na shughuli iwe za muziki,sanaa iwe ni muigizaji ama uchoraji ama uwe ktk nyanja ya ufundi...
Habari za weekend wakuu..
Najielekeza ktk mada moja kwa moja kuna haya majina ambayo hutumiwa sana au huitwa sana watu wanaotokea mikoa ya kaskazini mwa Tanzania hususani wanaofanya biashara ya kuuza duka.
Majina yenyewe ni km haya yafuatayo hapa chini;
>>>MANGI
>>>SHIRIMA
>>>BWASHEE
Kuna...
Naam,habari za mwisho wa juma wakuu,leo nimekumbuka moja kati ya siku ambayo itakua ngumu sana kuisahau ktk maisha hususani nikikaa na kukumbuka purukushani za ujana hasa likija suala la kusaka papuchi ama mwenza wakati wa ujana.
Nisiwachoshe nimekumbuka miaka 15 iliyopita ktk harakati za...
naam wakuu km heading inavyojieleza,
Nina rafiki ambae amehamia maeneo ya kitaa nilipo yapata miez miwili.Jamaa kaingia kwa pupa kitaa maana kanasa kwa manzi ambae ni mdangaji wa hatari na huyo manzi ni mshari hatari.Jamaa ukikaa nae mnapiga stori fresh ila sumu yake anakwambia yeye hana siri...
Naam wakati tukiwa ktk maombolezo ya ndugu zetu waliopoteza maisha ktk ajali iliyotokea ktk ziwa victoria ikihusisha kivuko cha MV Nyerere.Mungu azilaze roho za marehem mahala pema peponi Aamiin.
Tukija ktk mada wakati tukiwa watoto wadogo hususani ktk kipindi ambacho hujaanza kung'amua mbivu na...
Naam habari za weekend,nijikite ktk mada moja kwa moja ambayo inazungumzia ni ktk kipindi gani utakua sahihi kumpata mwenza wa maisha.
Nakuja na mada hii baada ya kukutana na changamoto ktk maisha yetu hasa upande wa jinsia ya kiumeni.Hii inatokana na ukweli kwamba ktk harakati za maisha...
Naam wakuu muda mwingine hujikuta umeingia ktk kumhudumia/kumgharamia msichana/binti/mwanamke pasipo kujua ulianzaje.
Lengo ni kujuzana km kuna makosa ambayo tunayaingia na changamoto zake na raha pamoja na karaha zake.
Binafsi nakumbuka wakati naanza mchakato wa life la kujitegemea nilidate...
Mzee wa Bwax na Man fongo tayari washafanya show na sasa ni zamu ya Mesen Selekta
Saa 11:53 Yuda msaliti anapanda jukwaani
Host wa show FIDO NA SAMMY LOVE wanatoa zawadi ya Bull condom kwa watu watano walionyoosha mikono kujipatia bidhaa hiyo
Saa 13:35 Shetta anapanda jukwaani,hana shangwe...
Naam jioni njema
Let me go straight to the point. Hili suala limekuwa likinitatiza sana kwa kipindi kirefu.
Jambo hilo ni uchawi ama ulozi hususani katika idara ya usafiri. Je, ni kweli wachawi (walozi ama wanga) huwa wanasafiri kwa kutumia ungo kutoka sehemu moja hadi nyingine? Mfano...
Habari wanabody,
Km heading ilivyotangulia baadhi ya shule za awali maaruf kwa jina la nursery zimekua zikifanya ulaghai kwa watoto na wazazi na sina uhakika km anaepanga tatizo ni mmiliki wa kituo ama walimu wanaotoa huduma.
Tatizo la msingi ambalo nimelifanyia research kwa eneo...
Kuna jamaa kapigwa tecno L9+ kama utani maana kamkuta jamaa ana kimeza kama mnavyojua mafundi simu wa town na tatizo lake lilikua ni camera basi fundi akamwambia tatizo linarekebishika gharama ya camera ni elfu 20 jamaa akatoa hela akampa fundi akaambiwa amsubiri anaenda dukani kununua hiyo...
Habari wanajamvi
Km kichwa cha habari kinavyojieleza kumekuwapo na wimbi kubwa hususani ktk nchi yetu ya Tz ya biashara ya vitu vilivyotumika almaarufu kwa kwa jina la vitu vya mtumba ama vitu used,kwa upande wa vitu original (nimetumia neno original kwa kua sijapata kiswahili chake sanifu}...
Habari za mwanzo wa juma wanajamvi
Kuna tamaduni km sio mila japo sina uhakika km ni kwa makabila yote ama ni baadhi hususani kwa hapa TZ ya kwamba pindi mtoto anapozaliwa mzazi inabidi awe makini wakati kitovu kitakapoachia kisiangukie sehemu ya uume kwa mtoto wa kiume na kisiangukie sehem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.