Kwa dsm kwa mtaji wako huo wa laki 3 anza na biashara ya kuuza matunda sio ule wa kutembeza kwenye beseni ule una una vishawishi vingi toka kwa sisi wanaume unaweza kukutoa kwenye mstari
1)Tafuta location ya barabarani ambayo utaweza kufanya biashara yako...hakuna malipo wala kodi ila wengine...
Jana kuna boda kapigwa 25k na jamaa ninaemjua...kamwambia amplipie king'amuzi kwa wakala kifurushi cha 25k na amnunulie na maji ya afya lita 12
Baada ya hapo ndio imeisha hiyo kazima na sim ananiambia mjini mipango baada ya dakika 10 tukawa tunacheki gem ya Mashujaa vs Azam
Habari wakuu...
Niende moja kwa moja kwenye mada ni wakati gani utajua biashara unayofanya imekufa au imefilisika...nimejiuliza hili swali kwa nyakati tofauti na nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja ingawa nimepata mawazo yafuatayo
1)Pindi unapotoa pesa yako katika vyanzo vingine vya mapato...
Sema makampuni ya betting yanatuibia sana wakamaria yaani sevilla kuscore goli moja ndio wazuie laki mbili na kitu na unakuta hata hiyo odds ukiizidisha hapo haina thamani hiyo
Maafisa ubashiri...vp bado hakuna aliyebutua mamilioni ya mrusi,mzungu au muhindi bado nipo chimbo nakula madini ya betting huku najaribu mdogo mdogo maana paper mwezi wa 12 nikifaulu wataloa sana odds mbili hizo zawadi ya huku chimbo nilipo....betpawa 8D1FF06
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.