Let us wait and see,Dr. Munga kweli yupo Lushoto lakini hafahamu sana changamoto za watu wa Bumbuli,Dr Najimu kidogo amekulia Bumbuli na anafahamu mazingira yetu.
Ingependeza tungeona sura za wana Bumbuli,Cv za hawa wana Board kweli zinamvuto ila kwa faida ya nani,fedha zinapatikana hata kwa...
Kwenye sheria ya ardhi hakuna sheria inayompatia diwani wala meya kugawa ardhi,ardhi imekasimiwa kwa kamishana wa ardhi,swala la madiwani wa chadema kujigawia ni uzushi.labda ulete ushahidi ila kumbuka diwani naye ni mwananchi na ana haki ya kupata ardhi kama wananchi wengine
Sijaona tatizo kwa nini Rais asipewe barua kama amekaa kimya,kwa chama makini nilazima kiweke rekodi zake sawa juu ya matukio yanayogusa masilahi ya wananchi,nadhani pia kwakuwa Rais wetu ni muungwana atawajibu Chadema,na sisi tutajua kwanini Rais amekuwa kimya.
Namkubali sana Patrick Rutabanzibwa ni moja ya makatibu wakuu wenye uwezo pote alipopita mawaziri wanapata naye tabu sana hasa wanapoleta siasa kwenye utendaji.Kwa hili la Malawi inawezekana atakuwa aliwajengea msingi mawaziri kabla hawajakutana unless wasingekuwa na cha kuongea
Pole sana Dr Mungu akutie nguvu kwenye hiki kipindi kigumu.Watanzania tuamke hapo ni MNH huko uswekeni hali inatisha jamani tuacheni mchezo,hawa watawala bila show ya maana hawatabadilika
Mh. Waziri mkuu,kampuni ya AGROSOL imefanikiwa kuchukuwa eneo kule Lugufu karibuni hekta 10,000,lakini taarifa za uhakika ni kuwa kampuni hii ni ya kitapeli na ndiyo maana wabia wengine wameamua kujitoa
Ndugu zangu wa Vuga,Soni,Bumbuli,Mgwashi,na Mahezangulu,mbunge wetu hataki wafujaji wawajibike aibu hii ni yetu,tumekuwa na tatizo la kujipendekeza kwa wageni huu ni mwanzo tu!!!!!
January ni mbunge wangu ingawaje sijampigia kura kwa baba yake alihakikisha hakuna wakumshinda,baadae nitasema mengi ila kwa hili watu wataanza kumfahamu,alitumia fedha nyingi kuupata ubunge,muda mwingine si kila kitu lazima u-comment,amejishushia heshima,kwa maana nyingine anatetea wezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.