Mzee wetu, nasikia kuwa kwenye hiyo miaka kabla ya Vita uchumi wetu wa Tanzania ulikuwa juu kuliko hata Kenya, ila baada ya vita ndo uchumi wetu ukapitwa na kenya hadi leo, je kuna ukweli hapo mkuu?
Mzee wetu wewe ni shujaa...na tunashukuru kuja kutupa historia nzuri ya Taifa letu, Vijana wengi hatujui wapi tulipotoka. Shukrani mzee achana na hawa Mbu tasa wanaokejeli na kupinga pasipo maana
Marofa ayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..hayajielewi ndo maana wanadondosha helicopters zao daily..wako nyuma technologically ndo maana diesel train yao wakaita bullet train[emoji1787][emoji1787]...ona sasa anajiquote
Aisee hujaona mvua zilivyo athiri huu mradi, kuna rafiki yangu ni mhandisi kwenye huu mradi yaan kile kipindi cha mvua walikuwa wanakaa hadi wiki kazi imesimama, Mvua ikinyesha mara moja basi wanakaa wiki nzima.
Mvua zilianza toka october mwaka jana hadi May mwaka huu, ndo maana hadi serikali...
Few days ago I received an email from a friend about Standard Chartered Bank forecasts on the African Economies. The Bank listed 10 largest economies in Africa and did a simulation for 2030 using current growth rates. I immediately glanced into the report to find out how big Tanzanian economy...
Sio mnaonesha magorofa wakati wananchi wenu wa chini wanafanya biashara kwnye mazingira mabovu, ayo majengo wanaenda kukaa watu wenye hela tu ambao ni wachache yaan mnazidi kuongeza gape la walionacho na wasio nacho.
Ona Tanzania inavyo jenga mazingira bora na mazuri kwa wafanyabiashara wadogo...
Wakenya na kama hamujui, BOT inaweka utaratibu mzuri wa kununua dhahabu ambazo zitakazokuwa purified na Gold refineries za ndani, wanasubiri Gold refinery ya mwanza na ile ya dodoma zianze kazi ianze kununua kupitia shirika lake la STAMICO hvyo kutaifanya TZ kuwa nchi ya kwnza na ya pekee Afrika...
Sasa hilo linamsaidia nini mwananchi mnyonge maana hao ndo wako wengi kwenye nchi zetu.
Pambaneni na kuinua kilimo maana tumechoka kuwalisha, pelekeni maji vijijini na mijini, sambazeni umeme vijiji vyte, boresheni huduma za Afya.
Yawezekana iliandikwa kuwa kuna muda utafika mwana Tanzania...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuna uzembe umefanyika Maabara na kupelekea Watu kuambiwa wana corona wakati hawana >> tuna maambukizi 679 ya corona hadi sasa Uganda ila kati ya hawa Watu baadhi yao wameambiwa wana corona baada ya vipimo vya Maabara pale Makerere wakati hawana, Maabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.