Habari zenu humu wapishi
Naombeni namna ya kupika mbilimbili za pilipili.... ziwe tamu na zisioze upesi.
(Ukiacha hii ya nyanya pilipili na kuanika juani daily)
Nahitaji techniques mpya..... haswa ziweze kukaa muda mrefu
Wenye mauzoefu mtiririke plz
Mwisho::::
Hivi kuna soko la mbilimbi...
Habari zenu,
Hivi mtu anaposema ameolewa lakini hajafunga ndoa ana maana gani?
Hii ni ndoa ya namna gani?
Naomba mnieleweshe maana naona uzee huu unanifanya nisielewe mengi ya mjini, halafu muhusika alivyovurugwa nikimuhoji sana anashusha kichambo na povu tu.
Habari zenu wapishi
Mie sio mpenzi wa choroko...lakini kuna mahali nilikula choroko tamu mnooooo
Bahati mbaya sikuweza kuoata recipe na nimetamani
Hapa nimenunua choroko zangu....
Naomba wa juzi wakupika hizi mtupie maujuzi
Nataka ujuzi wenu kwanza kabla sijamconsult mrgoogle...maana...
Nimekuja zangu sehemu fulani wilaya ya Temeke kusimamia mafundi kazi moja iliyohitaji umeme........ Kufika naambiwa TANESCO wazee wa kuangaza maisha wamekata umeme toka saa tisa usiku.......kuwapigia TANESCO wanadai kuna hitilafu hawajui iko wapi hivyo hawajui kama watarudisha au la...
habari zenu wandugu......
Kwa wenye utaalamu wa biashara ya mitumba nahitaji elimu yenu....wapi nitapata mabalo ya mitumba 1st grade? Ambapo hakuna kupigwa famba? Au jinsi ya kutambua grade nzuri?
Natanguliza shukrani.....
hivi humu ndani mpoooo? Nimewamiss mjue? Maisha tu yamebana halafu nimezoea stress za siasani kidogo (nafanyisha moyo mazoezi).....
Nawatakia weekend njema.....
Hugs za pekee zimwendee mume wangu Asprin (kaadimika kama makalio ya nyoka) na wake wanzangu cacico Yummy (walahi kapotea ) na...
umofia kwenu.....
Nimekaa nalo hili toka mchana......
Kaka zetu vipi jamani? Hata kujipenda kidogo?
Unakuta mwanaume, msomi na masters yake ananuka uvundo? Ananuka kutu? Ananuka kama maharage yaliyochacha?
Hivi hamjinusi?
Au hiyo harufu mnadhani ni perfume?
Mwanaume unavaa shati moja...
napenda msome maneno ya wimbo huu kwa makini.......
Woman"
I worked late but you didn't wait up
My bones ache, I'm cleaning the place up
Sometimes I don't even know why I care
I sit down take off my make-up
I lay down but you don't wake up
Sometimes I wonder if you know...
MAHITAJI
kuku 1 mkate vipande upendavyo
swaumu(thomu)
tangawizi
vinegar
pilipili ( napendelea black papper grounded)
vijiko viwili vya curry powder (simba mbili is the best)
MAANDALIZI
- osha kuku wako kwa kutumia vinegar (hii hukata shombo ya `kuku kwa sie tusiopenda harufu), mwaga...
habari zenu wapendwa,
binafsi hili ni swala ambalo nimeliona likitokea ila sijalipatia jibu. Sijui kama lilishajadiliwa humu au la na kamchina kangu hakawezi kusearch.....
Ni hivi inakuwaje kwa wanandoa, hususan mwanaume anatelekeza familia yake miaka kadhaa, hata kumi..... Ila akishafika...
mahitaji
1. Nazi
2. Punje kadhaa za vitunguu swaumu kadri upendavyo
3. Karoti
4. Corriender leaves
5. Pilipili
6. Ndimu /limao
7. Maji kiasi
kuna nazi, grate karoti, menya swaumu , katataka vipande bya korienda, pilipili
tia vyote kwenye blenda, kamulia limao au ndimu za...
nina kiu mie jamani kiu kiu kiu.......
Kiu imenibana jamani..........
Kiu inanitesaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kiu inaniumizaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hii kiu niifanyajee?
Tena kiu ya leo ipo wazi kabisaaaaaa, inataka amarula tu.....
Haitaki chochote zaida ya amarula, haitaki savana wala...
kichwa cha habari chahusika...... huyu binadamu aliyeko mbele yangu kwa ngazi moja nimfanyaje?
ndo maana wengine wanarogwa, maana akiondoka kiti chake nakalia kero zinaisha...
mwekezaji Abraham wa Monduli anyunyuzia dawa /sumu kwenye majani iliyosababisha ng'ombe kadhaa kufa, na watoto 38 walazwa, baada ya kula nyama hizo ya ng'ombe .
Pia inasemekana swala na punda wafa baada ya kula majani yaliyonyunyuziwa sumu.
Source : Itv
Mtu mzima, [tena usikute msomi na degree zako kadhaa kichwani] unaingia chooni, iwe choo cha umma au binafsi, iwe ofisini au kituo cha basi unakuta choo kisafi, kinang'ara, unaachia mkojo ukimaliza unaondoka bila kuflash ilhali maji yapo ya kutosha......... Halafu mkojo wa...
yaani hapa nimenuna kweli kwelì!
Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi!
Na usingizi wangu umekata!
Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye gari yake? Au ana matatizo ya kusikia? Anafungulia mziki mnene mpaka roho inadunda. Ingawa...
kautafiti kangu(sitaki kuulizwa kuhusu data nk) kamebaini kuwa jumamosi na kipindi hiki cha mpito kuelekea sikukuu..............
Utasimamishwa na tra waangalie kama umelipa ushuru...
Utapigwa mkono na trafiki acheki triangle na kadi....
Kuna vehicle inspecta lazima wafanye kazi yao...
Habari,
wanaume mje tusemezane....
hivi ukifa leo umeiandaa vipi familia kukabiliana na maisha? na kama una watoto wadogo ambao wanakutegemea umeandaa vipi maisha ya watoto mara utakapotoweka?
je watoto watasoma?
watakula?
wataishi kwenye nyumba gani?
wakiugua hospitali itakuwaje...
habari jf doctors
naombeni ushauri tafadhali.
Nasumbuliwa na maumivu makali ya tumbo upande wa kulia mpaka karibia na kitovu, vikiambatana na kichefuchefu na kukosa hamu ya kula.
Nikaenda Tumaini hosptl kucheki wakaniambia sina kidole tumbo, figo, maini vipo okey hakuna tatizo. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.