Wakuu Mimi ni mjasiriamali ni nae taman kuanza kilimo cha uvuvi japo sijui mengi lakini naamini Ninyi mwafahamu mengi zaidi maana Mimi ndo kwanza naanza
Sasa Niko Na wenzangu Wengi tuu wenye NDOTO Kama zangu
Tumewaza tukaona tutengeneze group LA watsup linalo jumuisha wadau wote wa uvuvi ili...
Watu Wengi wamekuwa na wapenzi zaidi ya wawili
Hii ni ishara ya kuwa wote alionao awe mwanaume au mwanamke amewatamani tuu Hakuna na upendo wa kweli ndani *true love *
Na tabia hii imewafanya Wengi kushindwa kumjua mpenzi wake wa kweli wa kufa kufaana
Utasikia kidume kikisema nataka demu...
Tuko weng twende tuu Mkuu tukakngee nao tutawalipa taratibu hata Kama wakikata boom yetu Powah tuu lakini kisomo kinaenda mwanzo mgumu ila mbele raha
Mchumia juani...... .....#malizia [emoji6]
Wakuu kwa college ya natural science and math nikiwaomba wanipe one month nikamilishe Ada ya halafu malipo mengine yote nikawakamilishia at the day of my reporting
Je will they offer me that chance
Wakuu naweza kupata makazi ya hosteli kwa mwezi mmoja kwasababu kwa sasa sijui Kama Nita weza kulipa vyote KWA hiyo napiga chini direct cost nipange halafu Nita ilipa after one month je hizo hostel zipo Na Kama zipo unafuu wake ukoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.