Chakushangaza mahusisiano ya watu wa aina hiyo hua yanadumu muda mrefu kuliko yale ya watu walio serious.
Ukitaka kufurahia mapenzi pata mwenza ambae chemistry zinaendana.
Hauwezi kua mzalendo wa kweli ukiwa CCM.
Watu wapo CCM kwa masilahi yao binafsi.
Hata Lucas mwashambwa anaifagilia CCM kila siku sababu kuna mchongo anausikilizia.
Maisha ya kiafrika hayana formula kabisa.
Unaweza pambana sana na usitoboe mpaka unakufa.
Kosa kubwa ni kuishi kwa kujifananisha na walio fanikiwa badala ya kujifunza kutoka kwao .
Matokeo yake ni kupata depression na matatizo ya afya ya akili.
Muombe MUNGU sana, fanya kazi kwa bidii, focus...
Kua kiongozi wa upinzani Tanzania ni stress tu.
Unawateteaje watu waoga na wasiojiolewa!!
Watanzania waliopiga kelele swala ya bandari ni mamilioni, lakini waliojitokeza hadharani kwenye maandamano ya kupinga ubinafsishwaji wa bandari ni 6 pekee [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu bado kuna...
Ni kweli kabisa mkuu, sikuhizi vijana wengi wanapenda tigo.
Ila kuna baadhi ya wazee wanapenda tigo pia.
Mimi katika maisha yangu yote nimeamua kupenda vodacom pekee [emoji16]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.