wewe acha uhuni, ukichukua 980 analodaiwa tukiamua kulipa na ile sh 10 aliyobaki nayo atakuwa anadaiwa tsh 970 kwa kuwa kapunguza deni, ukijumlisha deni na ile tsh 10 utakuwa umekosea coz 1000-30=970, so usijumlishe 980+10=wrng, ila chukua 980-10=970 ambalo ndo deni litakalobaki, prov...
huyu jamaa hamna kitu kabisa, hivi haoni mifano toka nchi jirani, kama alikuwa anajua yote hayo kwa nini alitoa miahadi mingi, eeh Mungu tuepushie magamba huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.