Samito nimekupima akili nimegua yafuatayo.
1. Bado maisha yako yanategea wazaz (unakula bure),
2. Hauna ufahamu wowote juu ya mfumko wa bei (economic inflation)
3. Haujui kufanya tathimin katika nyakat.
Nb. Rudi darasan usome tena
Sioni sababu ya dr kuwapeleka mahakaman, kwa kuwa anaehukumu kesi ni mteuliwa wa babake (kesi ya mifupa usiipeleke kwa fisi). Dr tutangazie uma tutumie nguvu zetu kuwachomoa hao nya*n, inauma saana kiongoz wa juu kutuhumiwa afu ushindwe kujitetea
Gosbert qoodluck nawe toa point zako kama unaona Dr hana hoja, nahofia sana ushirikiano wako wa akili huenda ubongo wa mbele, wakat na nyuma havina ushrkiano (zimechuchumaa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.