Kabla hujalalamika tambua kuwa kila jambo linawakati wake hata biblia imeandika kila jambo na wakati wake kunawakati wakupanda na kuvuna,huwezi kupanda na ukavuna siku hiyo hiyo.
Kabla ya yote Muombe Mungu akuongoze kisha ukapime afya yako kisha rudi tena kwenye maombi jiweke karibu sana na...
Huna lolote,hapo juu tu ulivyoanza unaonekana unachuki na mnafki.
Kama kampuni iko Tz lazima ichukue models wa bongo?
Mbona unatumia bidhaa za nje,Je wewe unadharau bidhaa za ndani?
Mambo vipi wadau naomba kuuliza namna ya kuanzisha Radio Station ni vitu gani natakiwa kuzingatia,taratibu za kufuata ni zipi na equipment zipi ambazo zinahitajika ilikuanzisha Radio Station ya kawaida tu pia Kwa makisio ya kawaida inaweza gharimu shingapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.