Unajua bei ya Samaki Mwanza iko juu kuliko hata Arusha?
Swala la shule za English hilo ni nchi nzima na sio Arusha. Kwani Dar wao wanasomesha shule za Serikali?
Arusha Maisha yalikuwa ghari kipindi cha ile Mahama ya Rwanda Mauaji ikifanya kazi.
Wale wafanyakazi ndo walipandisha maisha ya Arusha.
Kwa sasa hakuna kitu kama hicho.
Arusha vyakula ni bei ya chini mno.
Kuanzia Ndizi, Nyanya, vitunguu, karoti, michele na kadhalika.
Vyumba vya kupanda...
Kwa watu wanao fuga kuku watakuwa wanafahamu hili kwamba Silver Land wapo Tangu 2014 wakizalisha Vifaranga.
Wana mbegu yao maarufu sana inaitwa SASSO sasa nilivyo ona ikizinduliwa leo kwa kweli nimeshangaa mno. Nazani oko kwenye orodha ya vile viwanda 3000 na.
Ninacho ona kwa sasa kuna Double...
Acha ujinga. Unashinda humu kutetea sikui nani ana Private jeti mbili. Sema wewe au ukoo wenu ni lini mtakuwa na ya kwenu? Unatetea wanaume na pesa zao utazani mna ukoo naye. Acha ujinga kabisa dogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.