Kwa namna yeyote ile MAGUFULI ameshinda nafasi ya uraisi kwenye nchi hii.
Vyama Pinzani (UKAWA) and those nje ya UKAWA. walisimama kidete kufichua machafu ya chama cha mapinduzi kupitia EDWARD LOWASA na leo CHADEMA Kwa mbwembwe kabisa wamempitisha LOWASSA kuingia kwenye chama chao and...
Nitawashangaa sana vyama vya upinzani wote kwa ujumla wao. Viongozi na wafuasi wakimpokea kwa shangwe ndugu Edward Lowassa kwenye vyama vyao baada ya kushindwa kutwaa nafasi ya kuwania urais kupitia ticket ya CCM.
Kwani wapinzani Hao Hao ndio walioibua hoja ya wizi wa Richmond na EPA...
Habari za leo wadau. Naombeni kufahamishwa. Je ni kampuni gani nzuri na ya uhakika kwa huduma za bima ya nyumba/ mali. Nahitaji kuweka bima kwenye asset za familia. Asante
Nauza Macbook Pro! Ipo in good condition
13" screen
4GB Ram DDR3
320GB HD
2.3 Ghz Intel Core i5
OSX 10.9.2 maveriks.
Price: 1,700,000/= Tshs.
If you are interested, call 0714021078
au please inbox me.
Habari zenu wadau, naomba kupata msaada wenu. Nahitaji gari ndogo ya kutembelea, Budget yangu ni milioni 3.5. Iwe in good condition haijalishi registration namba gani! Kama unalo tafadhali weka picha zake na maelezo kidogo! Na mawasiliano! Au nitumie kwenye whatsapp kupitia 0714021078 au...
Kwa mahitaji ya usafiri uwe wa BASI, NDEGE, MELI, NA HATA TRENI Wasiliana nami! Jiskie huru! Si ulidhani kuhama nchi ni rahisi rahisi kama kuandika tu! Hama sasa!
Ni mpaka siku Mzazi wako, ndugu au mtu unayemfahamu vema afariki na watu kuanza kumsema vibaya au kukejeli kifo chake ndio utajua madhara ya kauli mbaya!
Habari
naombeni kura zenu, kwa kufungua hii link na kupost comment yako kwa kuandika HERUFI A ili kuniwezesha kuwa mshindi wa shindano la kuchora nembo (LOGO) ya #kuwamzalendo sambaza upendo
tafadhalia ingia hapa...
Habari zenu wandugu.
Naomba kura zenu ili kuniwezesha kuwa mshindi wa mashindano ya kuchora nembo (LOGO) ya clouds fm #Kuwa mzalendo #sambaza upendo kwa kufungua hii link na kuweka comment yako yenye herufi A...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.