Akuna kitu kama icho kama uamini nikupe namba yangu upige Alaf leta mrejesho simu aisemi iko bize inakata yenyewe bila kuongea chochot uwe nime block au nimezuia call zote au namba mpya narudia kama uamini nikupe namba yangu piga Lete mrejesho hapa.
Unajua watu wame Kalili mtu uki mblock basi...
Mkuu Saiz unaset simu yako Tu akuna tena shida ya *### sjui madudu gani Simu hiz za sasa Mambo bul bul we nenda SEHEMU ya call hapo ata uki mblock mtu unafunga na namba mpya akupati akitumia namba ngeni akupati
Pia Una hamua Nani akupate Kwa kuwaweka VIP contact
Lakini akikutafuta we utaona...
Uliangali kupitia TV gani mkuu chogo au flati TV au Una matatizo ya macho?
Kama ni ivyo pole baada ya kugonga Mwambia ule mpira ukadunda chini na kurudi juu beki wa mamelody akapiga kichwa mpira ukaelekea pembeni na kipa wa mamelody aka udaka 🆗 rude Ka review utaona
Yani Leo umesahau Simba alifungwa goli ambalo clear offside na Orlando nchi iyo iyo na hatua iyo iyo na VAR ipo u wnjani na refa akwenda ata kureview kabisa umesahau dadeki na mwisho Simba akatoka Kwa penati
The same imejirudia kwenu nchi Ile Ile hatua Ile Ile na mna ondoka Kwa penati umesahau...
Mmhh mi sija umia ndugu furahaaaaa Tele hapa ukizoea kuiba jua kuna kuibiwa pia via Kagera sugar
Karma nchi Ile Ile hatua Ile Ile robo fainal Simba Vs Orlando, clear offside Orlando alifunga goli mshambuliaji mghana pape kwame alikua offside na VAR ilikuepo refa akwenda kuangalia VAR na...
Iyo kawaida Tu bob Orlando alifunga goli pale pale south yaaaaani nchi Ile Ile mechi na Simba clear offside VAR ipo na refa akwenda kureview uto walishangilia Simba wakaumia na mwisho Simba ana ondoka kwenye penati karma malipo ni hapa nchi Ile Ile inatokea kitu kama kile na mwisho mtaani ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.