Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 elimu yangu kidato cha 4 katika harakati zangu za utafutaji wa pesa nimefanikiwa kuanzisha duka.
Kiukweli mwanzo kipindi naanza hali ilikua ngumu sana kwani mtaji wangu ulikua mdogo, lakini namshukuru Mungu amenisaidia hadi leo biashara...
Habar wana Jf. Mfahamu mmliki wa Kampuni ya Alibaba.
Tofauti na watu wengi wakubwa katika ujasiriamali, kama ukimuona Bw. Jack Ma katika mitaa akiwa peke yake kuna hati hati kubwa kuwa huwezi kumtambua
Hata historia yake kwa ujumla ni tofauti sana ukilinganisha na wajasiriamali wengine...
LIPA KWA M PESA
Habari wana JF,
Naomba kuuliza laini ya LIPA kwa M PESA inauwezo wa kuchukua milioni ngapi hadi kufikia ukomo wakupokea tena miamala.
Je naweza kuitumia laini hii kama-bank yangu ya kuhifadhi pesa zangu kuna risk zipi zakuitumia laini ya lipa kwa M PESA kama bank...
Mfanyabiashara kutoka Nigeria Aliko Dangote bado ndiye mtu tajiri zaidi barani Afrika kwa mujibu wa orodha ya mabilionea mwaka 2017 iliyoandaliwa na jarida la Forbes.
Utajiri wa Dangote unakadiriwa kuwa jumla ya $12.2 bilioni.
Kuna mabilionea (wa Dola) 25 mwaka huu barani Afrika, mmoja juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.