Na
Gwamaka Mwamasage “Maestro"
Mawasiliano:
+255764806251
+255620152422
SURA YA KWANZA: NAITWA ALMAS HOBELA
Hali ya anga ilikuwa tulivu kabisa, ni utulivu uliofanana na asubuhi ama jioni lakini sikumbuki vizuri yaani sifahamu ni wakati gani huo, kwa mbali tu nilisikia miungurumo ya vyombo vya...
EPUKANA NA WATU WENYE SIFA HIZI 6 KWA AJILI YA AFYA YAKO YA AKILI
Afya ya akili siyo kipaumbele kwa watu wengi kwa sababu wengi huamini elimu ya darasani inatosha
Kama na wewe unaamini elimu ya shuleni pekee uliyohitimu inatosha kwa kila kipengele cha maisha yako basi upo kwenye upotevu.
Afya...
Wakuu Salaam, Nijielekeze moja kwa moja kwenye mada husika. Jamii Forums ni jukwaa pana na pendwa sana hapa nchini tangu kuanzishwa kwake, sifa moja inayopelekea kupendwa kwake ni hali ya kuficha majina ambayo inawapa Uhuru watu wengi sana wa kutoa maoni yao ikiwemo kuelezea maisha yao binafsi...
Waungwana habari zenu,
Kama kichwa kinavyojieleza, nina rafiki yangu amekuja kwangu leo asubuhi akidai anasumbuliwa na ndoto
Anasema juzi ameota amepata matatizo kazini yeye na wenzake wakafungwa jela na hakumbuki ni tatizo gani lakini alijikuta tu ameshafungwa
Leo asubuhi anasema ameota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.