Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake.
Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba.
Kisheria na taratibu za vyama...
Kuna kosa la kiufundi lilifanyika ambalo kwasasa linamgharimu mama kwenye Siasa za Tanganyika.
Kosa hili la Kiufundi lilifanyika tarehe 30 Mwezi wa tatu mwaka 2021 ambapo alifanya Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na aliyepata Uteuzi huu si mwingine bali ni Dr. Philip...
LEO TUPATE ELIMU KIDOGO JUU YA HAWA MABWANA
Na Comred Mwanakijiji Mwanakijiji Mkwawa
Miongon MWA kero kubwa Sana za WALIMU huko makazin NI juu ya hawa jamaa wanaojiita maafisa ELIMU kata
Zamani hawa jamaa waliitwa waratibu elimu kata lkn BAADA YA Kuboresha hili jina na kuitwa MAAFISA ELIMU...
Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na ladha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa dawa za hospitalin nyingi ikiwemo HELIGOKIT KIT lakin sipati nafuu.
Juzi nikaenda hospital kubwa ya...
Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na Radha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa dawa za hospitalin nyingi ikiwemo HELIGOKIT KIT lakin sipati nafuu.
Juzi nikaenda hospital kubwa ya...
BARUA YA WAZI KWA JAJI MKUU WA TANZANIA
MAHAKAMA YA MWANZO TANDAHIMBA ICHUNGUZWE
Kwako MH jaji mkuu
Miongoni mwa Mambo yanayokwamisha HAKI za watanzania ni kutokana na baadhi ya watumishi wa mahakama wasiofuata maadili ya KAZI yao ya kutenda haki
Katika miaka ya hivi Karibuni kumetokea...
Wadau naleta mrejesho kwenu nadhani wiki mbili zilizopita niliwahadithia kisa changu cha kupasuka kondom wakati nikifanya mapenz na demu ambaye siijui background yake NA wasiwasi wangu ulinijia kuwa demu inawezekana kaungua coz kesho yake nilipomuomba tukapime akagoma na kuniandikia meseji eti...
Waungwana mwenzenu Sina Aman kabisa ndoto zangu zangu zmeyeyuka nmekutana na DEMU nisiyemjua status yake nikamwita gheto akaja nikapiga na kondomu bahat mbaya ikapasuka bila kujua Ile kuchomoa hv nikagundua imepasuka hakika stress zikaanza usiku sikulala kabisaa Basi kesho yake nikajihimu kwenda...
Wadau, Mimi nasumbuliwa kwa muda sasa tatizo la mdomo kuzalisha mate machungu ikiambatana na tumbo kunguruma na kadri tumbo linavyonguruma ndipo mdomo unakuwa mchungu zaidi na hali hii inakuwa mbaya zaidi hasa nyakati za asubuhi ninapoamka pia hali hii inapelekea mwili kuuma na viungo hakika...
Jaman mwenzenu nasoma Chuo Kikuu cha Iringa semister iliyopita nilipata carry ya SoMo la fonetic kutokana na matatizo ya ada yaliyonifanya kuingia mtaan kusaka ada.
Swali je ikitokea Hilo SoMo nimesap tena je naweza kuwa nimedisco?
Naomben muongozo
Wadau nina miaka kumi sasa kuna uvimbe mdomon nimetumia dawa ya kusukutua mouth wash lkn tatizo bado lipo nimeendea hospital lkn tatizo halipon nini tatizo na kama ni ngoma nimepima sana tu jaman nisaidien kwa kuwa hili tatizo linanitesa sana na lilianza kama kaupele hivi mdomon.
Wakurugwa naomba kuuliza Mimi ni mwanafunz ninayeingia MWAKA Wa pili sasa MWAKA Jana sikupata loan HESLB lakin MWAKA huu NIMEOMBA TENA JE NAWEZA KUPATA?Je kuna continues student ambaye alishawah kupata humu ndani?
Naona WATU wanadai eti mkopo kipaumbele ni first year tu
Ni mwaka wa pili sasa hili tatizo linanitesa mpaka nimekata tamaa ya kuzunguka hospital zote bila kujua tatizo ni nini, jamani msaada wenu mwenzenu hii hali inanitesa sana.
Msaada kwa anayejua dawa ya kupunguza uzalishwaji wa kiasi kikubwa cha nyingi na kupelekea mdomo kuwa na radha ya uchungu muda wote na viungo vya mwili kuuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada jaman,
Nina tatizo la mdomo kuwa na ladha ya uchungu na viungo vya mwili kuuma nini tatizo? nimezunguka hospital mbalimbali na kuchukua vipimo mbalimbali na jana tu nimepima UKIMWI lakini tatizo halionekan je naweza kuwa na shida gan mwilin mwangu?
NATESEKA SANA NI MWAKA WA NNE SASA...
Nisaidien jamani nina tatizo la muda mrefu la mdomo kuwa na radha ya uchungu huku viungo vya mwili vikiuma nimejaribu kutumia dawa mbalimbali za typhoid, maralia, vidonda vya tumbo lakini hali hii bado inaendelea mpaka nmekata tamaa nimezunguka hospitali nyingi lkn tatizo halionekan sijui Nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.