Mimi mambo ya ndoa nlianza kuyaona magumu pale nlpoona baba mpangaji mwenzangu ananyata asubuh saa 11 akitaka kusepa bila kuacha hela...!!na mke akamuwah kwenye korido...!!sasa hapo nkawa nmeganda tu na ndoo yangu...niende niendako au nirudi chumbani...!!
Bikra hua na raha yake km ukienda kwa protocol...!!wengi huenda kwa pupa...!!unamuondoa mtu hofu kidogo kidogo...inabd kama una time utumie hata wiki...!!mimi nlkuwa sijui ila kiukweli yule girl mpk leo anatuma zawad...!!
Ujue kuna watu ni sikio la kufa...!!huyo mwanamke ameshajua wew huna maamuzi juu yake...anajua una hurum...!!yan kwa mtu mweny maamuzi ushauri ulopewa unatosha saan kufanya maamuzi
Nlikuwa form 1...!!nkamuuliza mshkaji flan alonzd umri "manii nd nini?":..akanielekeza kachue na sabuni...kitakachotoka hapo nd manii...!!Hahahahaaa nikayaona ila siwez kusahau kale kafeeling kwakweli
Wewe ni wa akiba...in case akikosa kwa kwenda...!!so anafanya hayo yote ili usipotee kwenye ramani...mambo yakiharibika kule anajua ana msaada....yan wew ni km upatu...kikoba....au kama ushawah kubet wew ni "Both Team Will Score"
1.Umri
2.Hela
3.Nyadhifa
Ila mwanamke hua ana tabia ya kutest...!!akikujibu hovyo ukanyamaza...kesho yake antakulamba kkofi kidg...kesho kutwa utapewa ngumi...mtondogoo nd utaanz akupigwa na mwiko
Just kuwa na msimamo tu...ukinyanyua mkono kamwe usiushushe
Hahahahahaaaa very true...!!ukiona anakvumilia bas ameona kuna mtonyo mbelen...kama unasoma au upo chuo so anajua utaajiriwa...!!ila nje ya hapo...!!hawezi....umenikumbusha mbali saaana
Ufundi ni hulka ya mtu...!!nlkutanaga na mchaga alochanganya na mrwanda...yeye hobby yake ni sex na mimi ni hivyo hvyo...nakumbuka tulipumzka mda wa kula tu ucku..!!yan kila ukimuweka yumo...!!kesho yake mchana namsindkza ht ktembea nlkuwa najikaza
Mimi niliachana na dem kisa tu aliona malengo yangu kimaisha yanachelewa kufanikiwa....so akasepa...almost miaka 7...!!awam hii yeye..wadogo zake na mpk shngazi yake wanabembeleza turudiane...!!Nahic wanataka roho yangu...anyway Ex harudiw
Kuna muda hao madada wenyew hawaeleweki...mdada ana mabwana wa5...mtaa mzima unajua kuwa una wenzako...!!kwa hapo lzm mwamba akatae..!!hakuna mwanaume anayetaka kuonekana mjinga...!!akitoka amefanana sawa...
Mimi nakumbuka tulirudiana na Ex wangu na tukaachana ucku huo huo...!!maana tumeachana miaka 4 hlf mtu anasema hajaguswa miaka yote hyo...!!nkaona kabsaa hapa najivisha bom
Kuna girl nmeanza kudate nae ni almost miezi miwili hiv...!!ni nesi wa hosptal fulan wilaya flan....!!ila mpk sasa tupo kwenye hatua za kuonana tu kwa ajil ya ubze wake...ila tangu nmekuwa nae magonjwa hayaniachi...hata yeye pia anaumwa pia baada ya kuwa na mahusiano nami...!!kuna siku nlmkiss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.